Wataalamu wa Iphone

Wataalamu wa Iphone

Wazeee,
Nime ambatanisha hapo juu screen shot nina kupa na hii nyingine ambayo nimepiga 13:00 na hapa naweka na risiti yake. Nilinunua tar 12 july 2019. Kama una jingine karibu View attachment 1423511View attachment 1423512
Sawa Mdogo wangu Mi mwenyewe nilinunua October hii


3A9A47C3-B2A4-4E3C-9E37-3B890D62D49E.jpeg
729BF047-9182-4DBD-B63A-BD69A7869937.jpeg
 
Watumiaji wa IPhone ina maana hawapo? Waswahili wajuaji sana basi utupiwe Uzi wa Itel au tecno wachangiaji full kuponda umeletwa wa simu kali chali.

Sent from my TECNO WX3 using Tapatalk

Wewe wa Tecno umefikaje hapa!!Epuka mimba za utotoni


Sent using IPhone X
 
Kkoo pale tegemea kupata simu used lakini wao watakwambia ni mpya yaan full box, kwa ufupi pale kkoo sijawahi ona duka linauza iphone mpya , ungekuwa na Uwezo wa kwenda I store yoyote unapata Cm new kabisa.

Hizi refurb zina majanga mengi sana na siku hizi wanajua mambo ya battery health basi wanaweka battery mpya za kichina (battery hazizidi elf 15, bei halisi) kwa hiyo ndani itaonesha 100%. Earphones za kichina yan zile earphone za fullbox ni mbaya kuliko hata hizi za OFIA au Phillips tunazonunua mtaani kwa elf 10, na watu wengi hawajashtuka. Kale ka hii ni Apple original kamewakaa kichwani kiasi kwamba wanaona ziko sawa.

Kama iPhone mpya huiwezi basi angalia used from Europe au USA. Zile ziko vizuri kila kifaa I original ingawa used, much better ukute iPhone original Ina 85% battery kuliko new/refurb yenye 100%. (Hapa am very serious kwa sababu ukiangalia Amazon au eBay iPhone 7 used Ina bei kubwa au sawa na new iPhone ya kkoo )

Juzi kati nimemchukulia Mtu hiyo full box, wao wanaita new na iko kwenye box kabisa , simu ni 6s lakini nilipoiwasha tu nakutana na iOS 13 [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2], nikajiuliza hii simu imeji update humu humu kwenye box ama ? Na battery ni 100%. Kwa mategemeo yangu iPhone 6s nilitegemea Kama ni mpya basi iwe na iOS ya nyuma Yan 9 au basi hata 11 kwa kuzingatia kwamba toka izalishwe ilikuwa haijauzwa yaan ipo kwenye stores, kwa sababu hii simu haizalishwi tena. lakini kitendo cha kuikuta na iOS 13 ilikuwa clear kwamba imetumika tena sana ila ikarudufiwa.




Sent from my iPhone using JamiiForums
 
aa utajuaje i iphone o.g na hii fake.??

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwa Technologia ya Marekani kutumia IOS kwenye simu zake imefanya wale macho kuvimba na wajinga wajinga wote kushindwa kucopy,wanaweza kucopy design lakini ni lazima watatumia indroid tu hakuna namna nyingine,Matatizo ya iPhone yapo kwenye kununua simu repear kwa kuambiwa ni new lkn sio kuuziwa simu fake


Sent using IPhone X
 
aa utajuaje i iphone o.g na hii fake.??

Sent using Jamii Forums mobile app
kama unataka original tuliza kichwa kuzitafiti za watu mpaka uzielewe vizuri.usisite kumuuliza mwenye iphone maswali machache na ikiwezekana akupe uishike uone inafananaje.ukiizoea na kuijua huingizwi mjini kirahisi.

angalia eneo inapouzwa-isikae moja,au mbili hilo ni tatizo.
iphone hata hizi za kariakoo za fullbox,lazima ni mtaji wa maana mtu kawekeza,hawezi kuiweka mazingira ya ajabu ajabu.na mara nyingi zinawekwa pamoja na simu nyingine zenye majina.siku hizi wauzaji wamekuwa na identity yao,wanachonga meza za mbao ndio wanauzia simu za gharama.

otherway ukiona bado hujiamini,nenda mlimani city,ingawa kuna ongezeko la bei hata 50% ya bei uliyoiacha kkoo ila ni uhakika zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa Technologia ya Marekani kutumia IOS kwenye simu zake imefanya wale macho kuvimba na wajinga wajinga wote kushindwa kucopy,wanaweza kucopy design lakini ni lazima watatumia indroid tu hakuna namna nyingine,Matatizo ya iPhone yapo kwenye kununua simu repear kwa kuambiwa ni new lkn sio kuuziwa simu fake


Sent using IPhone X
mkuu,mtu unayemuelekeza haya hakikisha anajua android os,inakaaje kwenye kopo linalofanana na la apple.

iphone kopi ina kila kitu cha nje kinachofanana na ile genuine,inapoanza kuwaka nayo inatanguliza logo ya apple,baada ya kuwaka ndio inaanza refleshing nk.mwingine anawezadhani ni kawaida apple kuwaka hivyo,analia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio inawezekana kabisa kwa matumizi mazuri ya simu za IPhone [emoji367]healthy inaweza kushuka asilimia 3 tu kwa mwaka,na mwingine ikashuka hata asilimia 12 kwa miezi sita,mfano mimi naweza nikatumia simu mwaka mzima inashuka asilimia 1 tu,wale wazee wakutumia simu wakati amechomeka kwenye chaji ama kutumia chaji fake ndio wahanga wakubwa



Sent using IPhone X

Mkuu samahani kuna hizi chaji za iphone unakuta zina urefu wa mita 2,3 hadi 4 hivi hizi chaji ni original kweli?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom