Wild Flower
JF-Expert Member
- Jul 20, 2023
- 378
- 766
A woman was born in 1975 and died in 1975.
She was 22 years old at the time of her death.
How?
She was 22 years old at the time of her death.
How?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Itakuwa kigagula huyo.A woman was born in 1975 and died in 1975.
She was 22 years old at the time of her death.
How?
In my opinion the year of birth was written unknowingly therefore, 1975 a year of death, minus 22 years of her age the result will be the year she was born which is 1953, Kwa maoni yangu walikosea kuandika mwaka wa kuzaliwa na ili kupata mwaka wa kuzaliwa inabidi kutoa miaka aliyo ishi dunia ambayo ni miaka 22, toka mwaka 1975 alio kufa, jawabu litakalo patikana ni mwaka wake wa kuzaliwa ambao ni 1953.A woman was born in 1975 and died in 1975.
She was 22 years old at the time of her death.
How?
Dah!.... Raia mna akili nzuri sana..
This sounds like a riddle! The answer is that the woman was born in room 1975 of a hospital and died in room 1975 of the same hospital. She was 22 years old at the time of her death.
...... In that case, she could have died while in room 1975 of some hotel, not necessarily at the same hospital where she was born.
This sounds like a riddle! The answer is that the woman was born in room 1975 of a hospital and died in room 1975 of the same hospital. She was 22 years old at the time of her death.
wewe umejuaje kama mwaka uliokosewa ni mwaka alio zaliwa? vipi kama mwaka aliokufa ndo hauko sawa? halafu pia nani kakuambia 1975 ni mwaka?In my opinion the year of birth was written unknowingly therefore, 1975 a year of death, minus 22 years of her age the result will be the year she was born which is 1953, Kwa maoni yangu walikosea kuandika mwaka wa kuzaliwa na ili kupata mwaka wa kuzaliwa inabidi kutoa miaka aliyo ishi dunia ambayo ni miaka 22, toka mwaka 1975 alio kufa, jawabu litakalo patikana ni mwaka wake wa kuzaliwa ambao ni 1953.
Ameishi miaka 22 ni rahisi kukumbuka mwaka aliokufa kwasababu mtu akifa inatakiwa azikwe, angalizo, huwezi kuzaliwa mwaka huohuo halafu ukawa na umri wa miaka 22. Was born in 1975 and died in 1975, yaani alizaliwa mwaka 1975 na kufa, (kufariki), mwaka 1975.wewe umejuaje kama mwaka uliokosewa ni mwaka alio zaliwa? vipi kama mwaka aliokufa ndo hauko sawa? halafu pia nani kakuambia 1975 ni mwaka?
Kwanza zingatia "was born IN" na "died IN" pia shugulika na "she WAS"A woman was born in 1975 and died in 1975.
She was 22 years old at the time of her death.
How?
In that case they will be no concept of life span, no body can live for 22years, in a year time., Hakuna binadamu anaishi kwa miaka 22 kwa muda wa mwaka mmoja, (ndani ya mwaka mmoja), vinginevyo tufuate mtizamo wa muuliza swali, siyo tena swali fikirishi.Kwanza zingatia "was born IN" na "died IN" pia shugulika na "she WAS"
Hapo unapata jibu.