She was born again in 1975 and died on the same year!A woman was born in 1975 and died in 1975.
She was 22 years old at the time of her death.
How?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
She was born again in 1975 and died on the same year!A woman was born in 1975 and died in 1975.
She was 22 years old at the time of her death.
How?
🤣🤣Watu mko vizuri kutumia chatgpt😂
vipi kuhusu time travel? hujui kuwa mapacha wawili wanaweza kuzaliwa leo baada ya miaka 85 mmoja anaweza kuwa na miaka 85 wakati huo pacha wake hajamaliza hata mwaka mmoja!Ameishi miaka 22 ni rahisi kukumbuka mwaka aliokufa kwasababu mtu akifa inatakiwa azikwe, angalizo, huwezi kuzaliwa mwaka huohuo halafu ukawa na umri wa miaka 22. Was born in 1975 and died in 1975, yaani alizaliwa mwaka 1975 na kufa, (kufariki), mwaka 1975.
Inaweza "born in" hapo mbele inaweza kufata Place au hata mwaka aliozaliwa. So in 1975 inaweza kuwa mwaka na hiyo ya pili 1975 inaweza kuwa place. Au hiyo 1975 inaeza kuwa place koteIn 1975 , namba ya chumba cha hospitali aliyozaliwa na alikufa chumba hicho hicho
No please, we are not closed minded, hatuja fungwa akili hadi tufikirie inavyotaka wewe unapotosha jamii, yaani tufikirie anavyo fikiri mwalimu hata kama anakoseaItakuwa kigagula huyo.
Apumzike kwa amani😂.
Kujibu kitendawili, ni kwamba alizaliwa mwaka 1975 na kufariki katika chumba/anuani namba 1975.
Na ukihitaji mwaka wake aliofariki ilikuwa ni 1997. Alikuwa mchepuko wangu.
Hapo unazungumzia watu wawili tofautiA woman was born in 1975 and died in 1975.
She was 22 years old at the time of her death.
Kama tutakuwa tunaahirisha kufikiri sawa, through suspending an individual reasoning in that case then, I have surrenderedHapo unazungumzia watu wawili tofauti
Dude, put a grip on your self imposed importance.No please, we are not closed minded, hatuja fungwa akili hadi tufikirie inavyotaka wewe unapotosha jamii, yaani tufikirie anavyo fikiri mwalimu hata kama anakosea
Comments reservedDude, put a grip on your self imposed importance.
This is all written light heatedly and nobody held a gun on your empty skull to either read my comment or take it for gospel.
Jamii hiyo inayopotoshwa ya makalio yako au??
Hii ndio athari ya mazumbukuku kujua kutumia simu, hata pasipo na ubishani mnataka kuleta league. It's a bloody riddle for the love of sanity.
Was, inatumika kuwakilisha mtu mmojavipi kuhusu time travel? hujui kuwa mapacha wawili wanaweza kuzaliwa leo baada ya miaka 85 mmoja anaweza kuwa na miaka 85 wakati huo pacha wake hajamaliza hata mwaka mmoja!
ukifikiria kinyume chake inawezekana ukazaliwa mwaka huu na ukafa mwaka huu ukiwa na hiyo miaka 22.
Jaribu kufikiria tena usiwe mwepesi ku draw conclusion.
hakunaga mchicha mwiba usiojua ngeliIandikwe kiswahili ili kumsaidia cocastic aelewe swali