Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hhahahahhah nilijua tu wanakuwaga na mawenge sana wakishapata kiinua mgongo apo nyie mwacheni siku si nyingi wenge litakata.Amepata penseni na akamega 20,000,000+ na hajamshirikisha yoyote.Mzazi hajawahi Lima tikititi.Hivi utajiri unaupata 60+?
Hiyo ni pesa yake kwanini unataka kumpangia matumizi?Mzazi wangu kalima matikiti hekari 5.Ni kilimo cha umwagiliaji.Hakushirikisha mtu yoyote.Kulima,kununua mbegu,gharama za mafuta kuvutia maji katumia zaidi ya 20,000,000.Na ni Mara ya kwanza kulima matikiti.Anasema anategemea kupata faida.Sisi wanae hatujaridhika na uamuzi huo mana kilimo na kamari.Kwa sasa haelewi mtu.Hivi mnaolima mnatupa fedha zote hizo ardhini?
hahahahaha, mwache, ndiyo risk taking yenyeweAu akala hasara ya kufa mtu tukafunga midomo
Kakupa makavu laivu.Nimeongea nae anasema hela sio zangu nitafute zangu,angalau angeanza na walau 5,000,000.
Lazima kilimo kimkate ameingia kichwa kichwa anaona pensheni nyingi haaishi.Wanamwagilia na mashine ya kupampu
Kilimo ni kamari na hasa cha kutegemea mvua. Ila cha umwagiliaji kama amejipanga vizuri anaweza kupata kwani atavuna kipindi chenye uhaba wa hilo zao.Kilimo hakitabiriki. Unaweza kushangaa akapiga hela ndefu kwenye hayo matikiti mkabaki midomo wazi..!
Unataka akushirikishe ulitafuta nae hiyo pesa?Amepata penseni na akamega 20,000,000+ na hajamshirikisha yoyote.Mzazi hajawahi Lima tikititi.Hivi utajiri unaupata 60+?
Nimeongea nae anasema hela sio zangu nitafute zangu, angalau angeanza na walau 5,000,000.
Amepata penseni na akamega 20,000,000+ na hajamshirikisha yoyote.Mzazi hajawahi Lima tikititi.Hivi utajiri unaupata 60+?