Wataalamu wa kuchora hivi hii picha ni ya kuchora

Wataalamu wa kuchora hivi hii picha ni ya kuchora

Uongo mwingine bhn, yani unaona kabisa hiyo ni picha halisi alafu mnaongopewa. Kawaongopeeni haohao mabunga zeze. Hizo nywele kazichoraje tuanzie hapo kwanza.
 
Uongo mwingine bhn, yani unaona kabisa hiyo ni picha halisi alafu mnaongopewa. Kawaongopeeni haohao mabunga zeze. Hizo nywele kazichoraje tuanzie hapo kwanza.
Mzee hiyo ni fani inaitwa hyper relistic painting. Ni kweli kuwa hawachori from scratch bali wanatumia picha zilizopigwa na kamera halafu wana replicate every detail. Yani picha unapigwa alafu yeye anaichora kwa mkono na kuweka kila detail iliyo kwenye picha halisi yani ukiangalia ya camera na ya kuchora ziko sawa.

Huyo jamaa anaitwa Silas Onoja.

Kuna watu mafundi.
 
Kuna mwingine yupo UDSM hall 4 hatari tupu sema ndio sio maarufu.
 
Mzee hiyo ni fani inaitwa hyper relistic painting. Ni kweli kuwa hawachori from scratch bali wanatumia picha zilizopigwa na kamera halafu wana replicate every detail. Yani picha unapigwa alafu yeye anaichora kwa mkono na kuweka kila detail iliyo kwenye picha halisi yani ukiangalia ya camera na ya kuchora ziko sawa.

Huyo jamaa anaitwa Silas Onoja.

Kuna watu mafundi.
Jamaa ni mnoma na nusu!
 
Back
Top Bottom