Wataalamu wa Madini/wafanya biashara za madini

Wataalamu wa Madini/wafanya biashara za madini

Nimetumia miezi 6
Acha uzembe 1.5 kwa miez maan yake una maingizo zaid ya 500k kwa mwezi inayokufany uweke 2.8 kwa mwez kama balance
Chapa kazi kwa muda wa miaka mitano then utapata uwanja mkubwa wa kucheza kulingana na mtaji utakaokuwa umeuweka kwa muda wote huo!!
 
kuhusu makahaba nipo nao kilometers 100 hawaniwezi nimewazoea sana hapa Dar kona zao nyingi nazijua na nimesha kwepa mishale mingi sana kuhusu hao ma binti, [emoji22] halafu hilo la kudondokewa na duara mimi siendi kuchimba baomba nieleweke mimi naenda kununua na kuuza baasiiiii.... kuhusu majambazi ni umakini na kumuomba mungu aniepushe nao.
kuhusu makahaba nipo nao kilometers 100 hawaniwezi nimewazoea sana hapa Dar kona zao nyingi nazijua na nimesha kwepa mishale mingi sana kuhusu hao ma binti, [emoji22] halafu hilo la kudondokewa na duara mimi siendi kuchimba baomba nieleweke mimi naenda kununua na kuuza baasiiiii.... kuhusu majambazi ni umakini na kumuomba mungu aniepushe nao.
 
urgent:
hesabu za kodi na kusajili kampuni, muda sio rafiki
0788104228 - vunja bei
 
urgent:
hesabu za kodi na kusajili kampuni, muda sio rafiki
0788104228 - vunja bei
 
Wakuu natumai mko poa, Mwenyezi Mungu anaendelea kutuwezesha kuwepo mpaka wakati huu.

Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, Bila kuwachosha nina wazo la kufanya biashara ya madini ila sijui nianzie wapi sija wahi kuifanya.

Ninacho kifahamu kuhusu madini ni mahali yanapo patikana basi... kuhusu thamani, ubora mahali paku uzia, faida yake inapatikanaje/hasara sijui. Pia taratibu zakufuata kama nikitaka kununua na kuuza zinakuwaje sizifahamu, nahitaji msaada wenu.

NB: nina mtaji mdogo sana 1.5M [emoji22] sijui kama itawezekana ila nina amini humu Jf kuna watu wengi sana wajuzi wa mambo mbali mbali nina imani nitapata ABC,S.. nipate pakuanzia.

Natanguliza shukrani za dhati kwenu kwa yeyote atakaye wiwa kunipa ushauri, Niwatakie jioni njema ndugu zangu. [emoji120]
KAMA KUNA MWEKEZAJI WA KOPA, NJOO NANYUMBU MTWARA TUTETE. WATSAP ME 0766432676
 
Mkuu ukitaka ufanikiwe biashara ya madini lazima upate mwenyeji kwenye hiyo sekta na aliyejitolea kwa moyo mmoja sababu biashara ya madini hasa dhahabu ndio nzuri zaidi na rahisi kukuza mtaji sababu nimetembelea sana kwenye maeneo ya uchimbaji.Biashara ya dhahabu sio kama ya mpunga kwamba ukiona unajua huu ni mpunga hapana kuna namna ya kulijua jiwe lenye dhahabu sababu unaweza kuona jiwe linang'aa kumbe ni madini ya chuma wahuni wanapaka hadi rangi mawe halafu unapigwa losi mchana kweupe.Kuna jamaa ana mwalo amekukaribisha ongea nae we kakae kwenye mwalo wake nunua kitu inaitwa seneti yaani mchanga uliochenjuliwa we unarudia tena kuosha na mbinu nyingine jenga urafiki na wale wamama wanao osha wakitoa dhahabu wakuuzia halafu we unapeleka sokoni, huo mtaji wako unatosha kwa kuanzie.Sehemu nzuri nenda Geita au kahama,huko nyamongo watukupiga ponchi(nyundo) wakisikia una mzigo vinginevyo jifunze kuwa mbabe kama ni mpole hautoboi[emoji23].
 
Mkuu ukitaka ufanikiwe biashara ya madini lazima upate mwenyeji kwenye hiyo sekta na aliyejitolea kwa moyo mmoja sababu biashara ya madini hasa dhahabu ndio nzuri zaidi na rahisi kukuza mtaji sababu nimetembelea sana kwenye maeneo ya uchimbaji.Biashara ya dhahabu sio kama ya mpunga kwamba ukiona unajua huu ni mpunga hapana kuna namna ya kulijua jiwe lenye dhahabu sababu unaweza kuona jiwe linang'aa kumbe ni madini ya chuma wahuni wanapaka hadi rangi mawe halafu unapigwa losi mchana kweupe.Kuna jamaa ana mwalo amekukaribisha ongea nae we kakae kwenye mwalo wake nunua kitu inaitwa seneti yaani mchanga uliochenjuliwa we unarudia tena kuosha na mbinu nyingine jenga urafiki na wale wamama wanao osha wakitoa dhahabu wakuuzia halafu we unapeleka sokoni, huo mtaji wako unatosha kwa kuanzie.Sehemu nzuri nenda Geita au kahama,huko nyamongo watukupiga ponchi(nyundo) wakisikia una mzigo vinginevyo jifunze kuwa mbabe kama ni mpole hautoboi[emoji23].
nyamongo ipo wapi mkuu .. ni Mara nini
[emoji1787][emoji1787]
 
Swali la msingi sana..maisha ya machimboni ni hatari tupu..huku majambazi..huku makahaba..huku kudondokewa duara...yani acha tu.

#MaendeleoHayanaChama
[emoji23][emoji23][emoji117]
 
Back
Top Bottom