Sonko Bibo
JF-Expert Member
- May 24, 2019
- 957
- 1,493
Sio bad news ni uhalisia, wachimbaji huhitaji Tochi, Battery etc wanao wahudumia ndio huuziwa dhahabu...hii ni bad news sasa [emoji24]
Acha uzembe 1.5 kwa miez maan yake una maingizo zaid ya 500k kwa mwezi inayokufany uweke 2.8 kwa mwez kama balanceNimetumia miezi 6
ni kweli ila jamaa kanitisha mapema mno.. .! [emoji848]
kuhusu makahaba nipo nao kilometers 100 hawaniwezi nimewazoea sana hapa Dar kona zao nyingi nazijua na nimesha kwepa mishale mingi sana kuhusu hao ma binti, [emoji22] halafu hilo la kudondokewa na duara mimi siendi kuchimba baomba nieleweke mimi naenda kununua na kuuza baasiiiii.... kuhusu majambazi ni umakini na kumuomba mungu aniepushe nao.
kuhusu makahaba nipo nao kilometers 100 hawaniwezi nimewazoea sana hapa Dar kona zao nyingi nazijua na nimesha kwepa mishale mingi sana kuhusu hao ma binti, [emoji22] halafu hilo la kudondokewa na duara mimi siendi kuchimba baomba nieleweke mimi naenda kununua na kuuza baasiiiii.... kuhusu majambazi ni umakini na kumuomba mungu aniepushe nao.
KAMA KUNA MWEKEZAJI WA KOPA, NJOO NANYUMBU MTWARA TUTETE. WATSAP ME 0766432676Wakuu natumai mko poa, Mwenyezi Mungu anaendelea kutuwezesha kuwepo mpaka wakati huu.
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 25, Bila kuwachosha nina wazo la kufanya biashara ya madini ila sijui nianzie wapi sija wahi kuifanya.
Ninacho kifahamu kuhusu madini ni mahali yanapo patikana basi... kuhusu thamani, ubora mahali paku uzia, faida yake inapatikanaje/hasara sijui. Pia taratibu zakufuata kama nikitaka kununua na kuuza zinakuwaje sizifahamu, nahitaji msaada wenu.
NB: nina mtaji mdogo sana 1.5M [emoji22] sijui kama itawezekana ila nina amini humu Jf kuna watu wengi sana wajuzi wa mambo mbali mbali nina imani nitapata ABC,S.. nipate pakuanzia.
Natanguliza shukrani za dhati kwenu kwa yeyote atakaye wiwa kunipa ushauri, Niwatakie jioni njema ndugu zangu. [emoji120]
Asikuchanganye huyo amelewaInamaana wanauliwa na wenyeji au inakuaje?
nyamongo ipo wapi mkuu .. ni Mara niniMkuu ukitaka ufanikiwe biashara ya madini lazima upate mwenyeji kwenye hiyo sekta na aliyejitolea kwa moyo mmoja sababu biashara ya madini hasa dhahabu ndio nzuri zaidi na rahisi kukuza mtaji sababu nimetembelea sana kwenye maeneo ya uchimbaji.Biashara ya dhahabu sio kama ya mpunga kwamba ukiona unajua huu ni mpunga hapana kuna namna ya kulijua jiwe lenye dhahabu sababu unaweza kuona jiwe linang'aa kumbe ni madini ya chuma wahuni wanapaka hadi rangi mawe halafu unapigwa losi mchana kweupe.Kuna jamaa ana mwalo amekukaribisha ongea nae we kakae kwenye mwalo wake nunua kitu inaitwa seneti yaani mchanga uliochenjuliwa we unarudia tena kuosha na mbinu nyingine jenga urafiki na wale wamama wanao osha wakitoa dhahabu wakuuzia halafu we unapeleka sokoni, huo mtaji wako unatosha kwa kuanzie.Sehemu nzuri nenda Geita au kahama,huko nyamongo watukupiga ponchi(nyundo) wakisikia una mzigo vinginevyo jifunze kuwa mbabe kama ni mpole hautoboi[emoji23].
wewe mbona upo jikoni kabisa ..Namim napenda kufanya biashara hii nipo kahama Nina mtaji 1.5milion naweza pata ABC kwa mtu ambaye yupo kahama