Uhuru24
JF-Expert Member
- May 2, 2015
- 4,112
- 4,361
Kila nipitapo hapa temeke mwisho asubuhi nakutana na pilika pilika za uchinjaji wa haya magari, kinacho nishangaza jinsi ya magari muonekano wake wa nje unaona kabisa body imenyooka haina shida.
Leo nimekuta TATA MBILI NAMBA D wanazichinja nikabaki nastajabu na kujiuliza maswali mengi,shida inakuwa wapi mpaka haya magari kuchinjwa? Nikiziangalia kwa nje mpaka seat zake zinavutia. Nikajiuliza tena au zimekufa ENGINE?
Basi wenye kujua/uelewa wa uchinjwaji wa haya magari naomba watupe elimu kidogo ili tukipita basi tuone hali ya kawaida tusiwe na maswali lukuki kichwani.
NB: KUOA NI SAWA KUCHUKUA KITU KIZANI NA KUKILETA KWENYE MWANGA.
Leo nimekuta TATA MBILI NAMBA D wanazichinja nikabaki nastajabu na kujiuliza maswali mengi,shida inakuwa wapi mpaka haya magari kuchinjwa? Nikiziangalia kwa nje mpaka seat zake zinavutia. Nikajiuliza tena au zimekufa ENGINE?
Basi wenye kujua/uelewa wa uchinjwaji wa haya magari naomba watupe elimu kidogo ili tukipita basi tuone hali ya kawaida tusiwe na maswali lukuki kichwani.
NB: KUOA NI SAWA KUCHUKUA KITU KIZANI NA KUKILETA KWENYE MWANGA.