Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama atamnyonyesha mtoto kama inavyotakiwa,bila kumpa mtoto kitu kingine chochote zaidi ya maziwa ya mama tuu(exclusive breastfeeding) basi hatapata hedhi kwa kipindi chote hicho atakavyofanya hivyo(kitaalam,mama anatakiwa amnyonyeshe mtoto maziwa yake tuu kwa muda wa miezi 6 ndipo aanze kuongeza na vitu vingine)Wakuu ni muda gani huchukua baada ya mwanamke kutoka kujifungua, na kuanza mzunguko wa siku zake?
kama atamnyonyesha mtoto kama inavyotakiwa,bila kumpa mtoto kitu kingine chochote zaidi ya maziwa ya mama tuu(exclusive breastfeeding) basi hatapata hedhi kwa kipindi chote hicho atakavyofanya hivyo(kitaalam,mama anatakiwa amnyonyeshe mtoto maziwa yake tuu kwa muda wa miezi 6 ndipo aanze kuongeza na vitu vingine)
Mkuu hakuna jibu la pamoja kwa swali lako kwa sababu kila mwanamke ana hormone tofauti na mwingine,ila wanawake wengi hupata siku zao baada ya wiki 10,baadhi ya wanawake wanaponyonyesha watoto wao huwa hawapati siku zao hata zaidi ya mwaka,kwa wale wanaonyonyesha watoto wao bila kuwapa vyakula vingine huchelewa zaidi kupata siku zao kuanzia wiki 20 na kuendelea kuliko wale wanaowahi kuwapa vyakula vingine mbali na maziwa ya mama.Wakuu ni muda gani huchukua baada ya mwanamke kutoka kujifungua, na kuanza mzunguko wa siku zake?