kigori one
Senior Member
- Apr 14, 2014
- 169
- 39
Inahitaji yai moja tu......
Mayai yapevushwe kwa wingi unataka mapacha au??
Anyway kula balanced diet
Hata mimi kwa maelezo yake nilivyomuelewa anahitaji kupata mapacha.
atumie vdonge vya uzaz wa mpango ili kubalance homorne zake!!!!
atumie vdonge vya uzaz wa mpango ili kubalance homorne zake!!!!
Mh kubalance kuvuruga???
mwenzng nijuavy vidonge hvyo vna harb mzunguko...lkn kuna dawa maalum za kurekesha homoni
kuna dawa za kurekesha homoni ? kurekesha ndo nni maana yake mkuu?
typng erra tuu....n kurekebsha