Lukansola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2010
- 5,435
- 1,604
Habari zenu wakuu, nitaongea kwa kifupi tu:
Kero yangu ni haya matangazo ya biashara ya kibongo, leo nizungumzie tangazo la Airtel Money ambalo yupo Majuto na sharobaro mmoja ambaye simjui, juzi tena nikiangalia TV nikaona watu hao hao wawili tena wakiwa almost in same outfit, (kwa mfano yule sharobaro alikuwa na mi-plaster usoni kama) wakiwa wanatangaza sijui sayona sijui sippy soda... (hata sikumbuki).
Sasa mimi nilifikiri tangazo la biashara linapaswa kuwa unique kwa kila kitu ili liweze ku maintain identity ya tangazo husika, yani kama ni sauti za watu kwa mfano, hazitakiwi tena zisikike kwenye ku promote product nyingine au costume inapaswa kuwa ya namna tofauti na matangazo ya bidhaa za makampuni mengine. au nakosea?
Halafu ni nani aliwaambia matangazo ya biashara ni lazima yawe comic? kwani bila kuchekesha vichekesho ambavyo havichekeshi hamuwezi kutengeneza tangazo likauza? kwa hiyo tutegemee kumuona huyo majuto kwenye matangazo ya kila bidhaa ya tanzania kuanzia magodoro, masufuria, vikombe nk?
Nawasilisha hoja wakuu.
Kero yangu ni haya matangazo ya biashara ya kibongo, leo nizungumzie tangazo la Airtel Money ambalo yupo Majuto na sharobaro mmoja ambaye simjui, juzi tena nikiangalia TV nikaona watu hao hao wawili tena wakiwa almost in same outfit, (kwa mfano yule sharobaro alikuwa na mi-plaster usoni kama) wakiwa wanatangaza sijui sayona sijui sippy soda... (hata sikumbuki).
Sasa mimi nilifikiri tangazo la biashara linapaswa kuwa unique kwa kila kitu ili liweze ku maintain identity ya tangazo husika, yani kama ni sauti za watu kwa mfano, hazitakiwi tena zisikike kwenye ku promote product nyingine au costume inapaswa kuwa ya namna tofauti na matangazo ya bidhaa za makampuni mengine. au nakosea?
Halafu ni nani aliwaambia matangazo ya biashara ni lazima yawe comic? kwani bila kuchekesha vichekesho ambavyo havichekeshi hamuwezi kutengeneza tangazo likauza? kwa hiyo tutegemee kumuona huyo majuto kwenye matangazo ya kila bidhaa ya tanzania kuanzia magodoro, masufuria, vikombe nk?
Nawasilisha hoja wakuu.