Wataalamu wa Mdoto mnisaidie kutafsiri.

Wataalamu wa Mdoto mnisaidie kutafsiri.

frankkilulya

JF-Expert Member
Joined
Apr 6, 2022
Posts
590
Reaction score
1,494
Habari wakuu poleni na majukumu, Nina mambo kadhaa hapa naomba kushare na nyie... sana sana wataalamu wa ndoto na watabiri.

Kwanza, Ndani ya hizi siku mbili mfululizo Nimeota Ndoto ikihusu Maji kujaa ama mafuriko, ndoto ya kwanza niliota nipo kando ya bahari imejaa mpaka makazi ya watu nkavuka bahari kwenda upande wa pili nakutana na waziri mkuu majaliwa
kesho yake tena, nikaota napita pembeni mto umejaa mpaka makazi ya watu maji yamejaa kwenda mbele nakutana na ndugu yangu aliekamatwa na polisi kaachiwa

Je wewe ushawahi kukutana na ndoto kama hizo au zinaendana na hizo.

Watafsiri wa ndoto naomba mnisaidie.
 
Habari wakuu poleni na majukumu, Nina mambo kadhaa hapa naomba kushare na nyie... sana sana wataalamu wa ndoto na watabiri.

Kwanza, Ndani ya hizi siku mbili mfululizo Nimeota Ndoto ikihusu Maji kujaa ama mafuriko, ndoto ya kwanza niliota nipo kando ya bahari imejaa mpaka makazi ya watu nkavuka bahari kwenda upande wa pili nakutana na waziri mkuu majaliwa
kesho yake tena, nikaota napita pembeni mto umejaa mpaka makazi ya watu maji yamejaa kwenda mbele nakutana na ndugu yangu aliekamatwa na polisi kaachiwa

Je wewe ushawahi kukutana na ndoto kama hizo au zinaendana na hizo.

Watafsiri wa ndoto naomba mnisaidie.
Utavuka vikwazo kuyafikia mafanikio yako, bahari au mto ndotoni Ni vikwazo,

Sasa huenda Kuna vikwazo ambavyo MUNGU ANAKUONESHA, NA HAKIKA UTAVIVUKA
OMBA SANA MAANA USHINDI WA JAMBO NI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO.
 
Utavuka vikwazo kuyafikia mafanikio yako, bahari au mto ndotoni Ni vikwazo,

Sasa huenda Kuna vikwazo ambavyo MUNGU ANAKUONESHA, NA HAKIKA UTAVIVUKA
OMBA SANA MAANA USHINDI WA JAMBO NI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO.
Shukran sana mkuu
 
Kama ni mfanyakaz tarajia kupanda cheo Kama ni mfanya biashara tarajia mipango yako kukamilika na kupata kiapato kikubwa
 
Utavuka vikwazo kuyafikia mafanikio yako, bahari au mto ndotoni Ni vikwazo,

Sasa huenda Kuna vikwazo ambavyo MUNGU ANAKUONESHA, NA HAKIKA UTAVIVUKA
OMBA SANA MAANA USHINDI WA JAMBO NI KATIKA ULIMWENGU WA ROHO.
Na Mimi niliyeota na kunywa maji mengi na masafi bila kiu kuisha maana yake Ni Nini?
 
Back
Top Bottom