Wataalamu wa Mikopo, Uchumi, Hesabu naomba Mnieleweshe hapa

Wataalamu wa Mikopo, Uchumi, Hesabu naomba Mnieleweshe hapa

Hivi kibihashara Milioni 20 inaweza zalisha 500k kwa mwezi??
Biashara inatakiwa ikupe at least 10% ya pesa uliyowekeza kwa mwezi,
Hivyo hio akicheza vzr 2M anaingiza..

Mda mwingine ukiona pesa yako ni kubwa kwa bishara moja kwa eneo na nature ya wateja ulionao, igawanye kwa biashara tofauti,
Kikubwa zikupe 10%
 
Ukikopa mikopo midogo, tatizo unakuwa ww mkopaji, mikopo mikubwa tatizo linakuwa kwa bank, hii formula n nzur sana jtah ukope adi benk ipate shida na mkopo yako
 
Back
Top Bottom