Nyamisangura
Member
- Jan 4, 2018
- 87
- 107
anajua mnataniana ndio maana analia. siku moja piganeni kweli kisha uje kutuambia analia kweli au[emoji125] [emoji125]Mtoto wangu ana miezi 10 huwa kama nikijaribu kucheza na mke wangu yaani tuna pretend kupigana ngumi au makofi basi mtoto wangu analia kweli, akitulia bado nikiwa najifanya kumpiga mke wangu mtoto analia anakuwa anagalagala kwa uchungu analia NOTE:huwa hatupigani kiukweli ila huwa tuna pima reaction ya mtoto.Huwa najiuliza sana
[emoji23] ..kuna ka ukwel flan hapaahuyo mtoto alii kweli, na yeye anatania tu kulia kama nyie mnavyomtania kupiga.. kwaiyo hapo wote mnataniana
kitu kingine, huyo mtoto atakuwa amerithi tabia ya matani kutoka kwa wazazi
Analia serioushuyo mtoto alii kweli, na yeye anatania tu kulia kama nyie mnavyomtania kupiga.. kwaiyo hapo wote mnataniana
kitu kingine, huyo mtoto atakuwa amerithi tabia ya matani kutoka kwa wazazi
Kweli, wa kwangu anarusha nae mikono. na kuliaMtoto wangu ana miezi 10 huwa kama nikijaribu kucheza na mke wangu yaani tuna pretend kupigana ngumi au makofi basi mtoto wangu analia kweli, akitulia bado nikiwa najifanya kumpiga mke wangu mtoto analia anakuwa anagalagala kwa uchungu analia.
NOTE: Huwa hatupigani kiukweli ila huwa tuna pima reaction ya mtoto.
Huwa najiuliza sana.
hahahhahahhahaha kuna comment ukisoma full vituko!!huyo mtoto alii kweli, na yeye anatania tu kulia kama nyie mnavyomtania kupiga.. kwaiyo hapo wote mnataniana
kitu kingine, huyo mtoto atakuwa amerithi tabia ya matani kutoka kwa wazazi