pilikapilika2013
Member
- May 19, 2023
- 20
- 34
Naomba kufamaham kuwa kisheria inakuwa vp km afisa utumishi ameidhinisha maombi ya mkopo wangu kutoka Benki na Benki hawajaniwekea fedha ktk akaunti.
Je, naweza nikawashtaki na wakapatikana na hatia?
Je, naweza nikawashtaki na wakapatikana na hatia?