DullyJr
JF-Expert Member
- Apr 10, 2011
- 13,983
- 11,857
Kuna mwandishi mmoja ameelezea suala la saga la Faisal hivi.....
Feisal Salum kama katekeleza kipengele cha kununua mkataba wake hilo halina shaka linawezekana duniani kote, lakini inasalia Azam FC kumalizana na Yanga kulingana na VALUE ambayo Yanga watampa Mchezaji wao, vipi kama Yanga wakisema thamani yake ni BILLION MOJA? Itapaswa kulipwa ili ajiunge na Azam.
Kipengele kilichosalia ni Yanga Vs Azam, haitokuwa vita rahisi ndani ni SHERIA na PESA, tunasubiri kuona drama inaishaje ila hii kitu kwenye meza ya sheria na kanuni za FIFA bado haijaisha ni mbichi mno kama kweli Feisal kanunua mkataba.
Ulaya wengi wanachofanyana ni kumalizana na klabu kisha Mchezaji ili wasikomoane.
Kuna vitu viwili RELEASE CLAUSE na BUYOUT CLAUSE, sidhani kama Yanga wanaweza kuwa wajinga kiasi hicho waachie room ya Feisal kuondoka kirahisi[emoji3]! Kama vyote vipo maana yake Azam wanapaswa kurudi Jangwani kumalizana na Yanga endapo waliweka vyote viwili.
Najaribu kuwaza hii room ya kisheria maana ni ajabu mno Mchezaji kama Feisal kupatikana kirahisi hivyo, nje na hapo basi Yanga watakuwa wamefeli kwenye eneo la Kitengo cha sheria kama itaenda tofauti.
Ila nilichokuwa nafikiri mtu akinunua mkataba wake anakuwa yupo huru,mfano faisal akinunua huo mkataba anaweza kujiamulia kukaa nyumbani akafanya mambo yake,au mimi ndio sielewi?
Msaada please[emoji120]
Feisal Salum kama katekeleza kipengele cha kununua mkataba wake hilo halina shaka linawezekana duniani kote, lakini inasalia Azam FC kumalizana na Yanga kulingana na VALUE ambayo Yanga watampa Mchezaji wao, vipi kama Yanga wakisema thamani yake ni BILLION MOJA? Itapaswa kulipwa ili ajiunge na Azam.
Kipengele kilichosalia ni Yanga Vs Azam, haitokuwa vita rahisi ndani ni SHERIA na PESA, tunasubiri kuona drama inaishaje ila hii kitu kwenye meza ya sheria na kanuni za FIFA bado haijaisha ni mbichi mno kama kweli Feisal kanunua mkataba.
Ulaya wengi wanachofanyana ni kumalizana na klabu kisha Mchezaji ili wasikomoane.
Kuna vitu viwili RELEASE CLAUSE na BUYOUT CLAUSE, sidhani kama Yanga wanaweza kuwa wajinga kiasi hicho waachie room ya Feisal kuondoka kirahisi[emoji3]! Kama vyote vipo maana yake Azam wanapaswa kurudi Jangwani kumalizana na Yanga endapo waliweka vyote viwili.
Najaribu kuwaza hii room ya kisheria maana ni ajabu mno Mchezaji kama Feisal kupatikana kirahisi hivyo, nje na hapo basi Yanga watakuwa wamefeli kwenye eneo la Kitengo cha sheria kama itaenda tofauti.
Ila nilichokuwa nafikiri mtu akinunua mkataba wake anakuwa yupo huru,mfano faisal akinunua huo mkataba anaweza kujiamulia kukaa nyumbani akafanya mambo yake,au mimi ndio sielewi?
Msaada please[emoji120]