D___________Loy
Senior Member
- Jan 21, 2020
- 168
- 146
Habari wana jamvi,
Mimi natumia Microsoft Office 2016 kwa sababu ya shida. Pia ni mpenzi wa kutumia Outlook kwenye mambo yangu binafsi. Ni mwezi sasa nimesitishiwa huduma ya login to Outlook mail kwa sababu nisizozifahamu. Kila nikijaribu nakutana na mambo yafuatayo
1. Disconnected
2. Outlook need updates or update Outlook verison 365.
Binafsi bundle la kutosha lipo ila jamaa wamenizuia kupata huduma. Naomba msaada kwa wale wenye uwezo wa sniffing na hucking niendelee na huduma hiyo. Naumia sana kukosa Outlook mail hasa ile ya offline.
Mimi natumia Microsoft Office 2016 kwa sababu ya shida. Pia ni mpenzi wa kutumia Outlook kwenye mambo yangu binafsi. Ni mwezi sasa nimesitishiwa huduma ya login to Outlook mail kwa sababu nisizozifahamu. Kila nikijaribu nakutana na mambo yafuatayo
1. Disconnected
2. Outlook need updates or update Outlook verison 365.
Binafsi bundle la kutosha lipo ila jamaa wamenizuia kupata huduma. Naomba msaada kwa wale wenye uwezo wa sniffing na hucking niendelee na huduma hiyo. Naumia sana kukosa Outlook mail hasa ile ya offline.