Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,567
- 3,777
Habari wakuu?
Samahani, kiukweli mimi huwa nasumbiliwa na ugonjwa nisio ufaham ambapo kila baada ya miezi kadhaa naugua ugonjwa dizaini ya malaria na huu ugonjwa umenianza tangu nina almost miaka 5. Na kila Hospital ninayoenda kupima naambiwa sina ugonjwa (Kuhusu hili unaweza nipa ushauri).
Siku moja niliona isiwe kesi acha niende Harbal Clinic nikaenda kupima huku nikipewa kifaa fulani nikishike alafu wao wanaangalia kwenye laptop, eee bwana eee si wakaanza kuniambia huna tatizo lolote labda una upungufu wa nguvu za kiume.
Kiukweli mimi najitambua nauwezo wa kupiga show nikamwaga na nikaunganisha mazima kukiwakisha mpaka nitakapo tupa wazungu, ninauwezo wa kusimamia show usiku kucha mpaka nilisha wahi kukimbiza madem wawili gheto huku wakisahau nguo za ndani yaani huwa nikikiwakisha ni show show tuu.
Mwisho wasiku wakaniambia dawa ni 200000 aisee nilitoka nduki na nikajisemea rohoni huyu hajui show ambazo huwa nazipiga ni show za kimataifa alafu aje achukue 200000 kizembe.
Wakuu hivi kwa show ninazo zipiga za usiku kucha alafu mashine hailali hovyo nitakuwa na huo upungufu wa nguvu za kiume?
Samahani, kiukweli mimi huwa nasumbiliwa na ugonjwa nisio ufaham ambapo kila baada ya miezi kadhaa naugua ugonjwa dizaini ya malaria na huu ugonjwa umenianza tangu nina almost miaka 5. Na kila Hospital ninayoenda kupima naambiwa sina ugonjwa (Kuhusu hili unaweza nipa ushauri).
Siku moja niliona isiwe kesi acha niende Harbal Clinic nikaenda kupima huku nikipewa kifaa fulani nikishike alafu wao wanaangalia kwenye laptop, eee bwana eee si wakaanza kuniambia huna tatizo lolote labda una upungufu wa nguvu za kiume.
Kiukweli mimi najitambua nauwezo wa kupiga show nikamwaga na nikaunganisha mazima kukiwakisha mpaka nitakapo tupa wazungu, ninauwezo wa kusimamia show usiku kucha mpaka nilisha wahi kukimbiza madem wawili gheto huku wakisahau nguo za ndani yaani huwa nikikiwakisha ni show show tuu.
Mwisho wasiku wakaniambia dawa ni 200000 aisee nilitoka nduki na nikajisemea rohoni huyu hajui show ambazo huwa nazipiga ni show za kimataifa alafu aje achukue 200000 kizembe.
Wakuu hivi kwa show ninazo zipiga za usiku kucha alafu mashine hailali hovyo nitakuwa na huo upungufu wa nguvu za kiume?