Wataalamu wa uchumi naomba mpitie huu uzi

Wataalamu wa uchumi naomba mpitie huu uzi

Pablo Blanco

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
7,328
Reaction score
6,638
Hivi mabenki yanavyofungwa na kufilisika,hii ina tafsiri gani katika uchumi wetu???? Kuna uhusiano gani kati ya uchumi wa nchi na mabenki kufilisika????

Naomba admin usiifute huu Uzi tafadhali,
 
uchumi upo matatani. hizi benki ndogondogo wanazifunga lakini izi kumbwakumbwa ambazo ni too big to fall wanazi boost ndio maana unaona zina survive katika hii hali tete.
 
sio kila sababu ni za kiuchumi, sababu zingine kama kwenye baadhi ya mabank yaliyofutwa majuzi ni za kisiasa zaidi.
 
Back
Top Bottom