Blue Bahari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,851
- 2,171
Huwa naziona sana floor hizi hususani kwenye taasisi Kubwa. Vipi kwa upande wa nyumba za kawaida za kuishi. Zinafaa kutumika?
Karibuni.
Karibuni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe ni old school [emoji44][emoji44]Sijui ndio zakuitwa tarazo. Ni nzuri sana old school but zinavutia sana
Duh! Mahitaji yake ili kuitengeza unayajua?View attachment 2867166Ni floor za 3D mkuu kama hiyo hapo!
Ulikuwa mdogo labda wakati zinatokaKumbe ni old school [emoji44][emoji44]
Binafsi zimenivutia.
Yeah! Lakini vile vile nimekulia vijijini.Ulikuwa mdogo labda wakati zinatoka
Nilitamani niweke uwanjani. Lakini Kuna ambao nimeona wameweka bafuni Kwa lengo kwamba hazitelezi tofauti na Maru Maru.Zinafaa nyumba za kupangisha au kwenye frem waburuze miguu watavyo hazichakai zikifubaa unaingiza mashine unasugua upya
Hii imaundwa na epoxy resinView attachment 2867166Ni floor za 3D mkuu kama hiyo hapo!
Epoxy resin mkuu. Sema sina hakika kama kuna mbongo atakutengenezea yenye kiwango hicho. Kuna wahindi wanafanya na pale mwenge kulikuwa na jamaa anafanya sijui kama bado yupo maana kuna kipindi nlikiwa natafta material ya epoxy resin kwa ajili ya kuyatumia kwenye furniture nikafika pale ola bei ya lita moja tu ilikuwa kubwa sana.Duh! Mahitaji yake ili kuitengeza unayajua?
Sijui ndio zakuitwa tarazo. Ni nzuri sana old school but zinavutia sana
Tarazo za zamani sana miaka ya 70 na 80, kufikia miaka ya 90 zikaanza kupotea taratibu na tiles kuchukua chati.Kumbe ni old school [emoji44][emoji44]
Binafsi zimenivutia.
Hapana naona hii ina kama kioo, zile hazikuwa na mng'ao wa kioo na smooth surface kiasi hikiOld school zilikiwa hivyo hivyo?
Aisee!Tarazo za zamani sana miaka ya 70 na 80, kufikia miaka ya 90 zikaanza kupotea taratibu na tiles kuchukua chati.