Ile ya 3d sio tarazo ni epoxy na ya miaka ya hivi karibuni kwa tz imeingia.kama.miaka 10-13 iliyopita ila sijaona mtu anayemudu kwa 3d. Inatumika.pia kwenye furniture furniture inakuwa bomba hata.Aisee!
Tunasemaga "Old is Gold" [\i].
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile ya 3d sio tarazo ni epoxy na ya miaka ya hivi karibuni kwa tz imeingia.kama.miaka 10-13 iliyopita ila sijaona mtu anayemudu kwa 3d. Inatumika.pia kwenye furniture furniture inakuwa bomba hata.Aisee!
Tunasemaga "Old is Gold" [\i].
Wangepatikana wataalamu wa kibongo wanaojua kuzipatia, basi nina imani Wabongo wangezichangamkia. Kwa sababu za utaalamu ndiyo maana tumejikita zaidi kwenye tiles.Ile ya 3d sio tarazo ni epoxy na ya miaka ya hivi karibuni kwa tz imeingia.kama.miaka 10-13 iliyopita ila sijaona mtu anayemudu kwa 3d. Inatumika.pia kwenye furniture furniture inakuwa bomba hata.
View attachment 2867190View attachment 2867191
"Nabaki Afrika" iko eneo lipi?Ni nzuri sana Mkuu
Tembelea Nabaki Afrika kwa taarifa zaidi pamoja na kupatiwa fundi mzuri kwaajili ya hiyo kazi
Ndo hapa?Ni nzuri sana Mkuu
Tembelea Nabaki Afrika kwa taarifa zaidi pamoja na kupatiwa fundi mzuri kwaajili ya hiyo kazi
YeahNdo hapa? View attachment 2867205
Ubarikiwe Kwa muongozo. [emoji120][emoji120][emoji120]Yeah
Nenda hapo wakupe abc kuhusu suala lako, pia unaweza kufanya window shopping kwa ma-supply wengine maana siku hizi supplies wamekuwa wengi hivyo hata gharama inaweza kuwa chini kidogo
Ipo Mikocheni Industrial areas, Google utapata direction zao"Nabaki Afrika" iko eneo lipi?
🙏🙏🙏Ubarikiwe Kwa muongozo. [emoji120][emoji120][emoji120]
Yeah wakuje kumpa na kila lenye kheri katika ujenzi
Uwanjani vipi? Kwa vijana hazifai?Ni nzuri kwa wazee kwa maana hazitelezi
Uwanjani weka vigae pavers ndo maalumu kwa uwanjaniUwanjani vipi? Kwa vijana hazifai?