Wataalamu wasema Askofu Gwajima amepotosha ukweli kuhusu chanjo ya corona

Wataalamu wasema Askofu Gwajima amepotosha ukweli kuhusu chanjo ya corona

mimi nimeuliza tu,unaweza kupambana na gwajima katika kujenga hoja,tuliachana na uzinzi maana huko inawezekana unampiga 5:0.
Hoja kama ya 5G ni korona ? Utakuwa mwehu kubishana nae. Hajui physics anawaambia watu 5G ni korona! Mjinga tu ndio amaweza kumuamini.
Unabishana vipi na layman.
Gwaji ni layman katika udaktari, hii dunia ni kubwa sana kisha unajifanya kujua kila kitu.
Profesa wa udaktari anaezalisha madaktari atoe majibu kisha tumuamini Gwajima kwa habari za mitandaoni na tukatae majibu ya mtaalamu, huo sio ujuha.
Awe ananukuu vifungu vya biblia, hio ndio fani yake maji yanayomzidi ayaache wayaoge wenye weledi nayo.
 
“Wametoa ruhusa huku wakiendelea na utafiti mwingine kuona kama faida walizoziona zinaendelea kuwepo au kutaibuka madhara ambayo hawakuyaona awali,” alisema.
Kwa nukuu hii wewe msomi wetu unatushaurije sisi maamuma, Kazi iendelee au tuzime jiko?
Kama ikijulika zipo hasara tunaiwekaje?
"Wametoa" Akina nani nyie wasomi wetu mnasubiri desa tu C&P hakuna utafiti
 
Hao wataalam mbona sasa wamemuunga mkono kwamba hiyo dawa ni ya majaribio, sijaona sehemu wamekanusha hilo, sasa sijajua kukosoa maana yake nini?

Na pia huyo anyejiita mtaalam kusema kwamba MRNA haiingii kwenye nucleus hivyo madhara tajwa hayapo nadhani hajielewi, hiyo ni sawa na kusema nikiingia ndani kwako kukuletea ujumbe ndio ujumbe unafika, bali nikiishia dirishani kwako na kukufikishia ujumbe kwa sauti kubwa kupitia dirishani basi ujumbe unakuwa haufiki.

Madalali wa chanjo wanahangaika sana ili wapige 10%
Shida ya UVCCM wengi elimu ndogo ni changamoto. Ni hatari vijana wa HKL kujifanya mnahoji maprofessor wa epidemiology kutoka Oxford tena sio kwa paper au experiment ila kwa hearsay.

Hakuna aliyesema mtumie chanjo za wazungu..... China wanatengeneza zao so does Russia, nyie mnakwama wapi? Kwanini kila siku kulaumu wazungu? Ile ni chanjo yao nyie yenu ikwapi ambayo ipo perfect?

Kuna wakati huwa nashindwa kuelewa waTZ sijui elimu ni changamoto. Ile Radiotherapy treatment pale ocean Road 38% hupata madhara ya organ failure ni lini umewahi sikia imefungiwa au kulaumu mabeberu kutupatia?? Mmekaririshwa tu kwamba chanjo ya Covid ndio ina side effects ila dawa zote duniani eti hazina effects?
 
Shida ya UVCCM wengi elimu ndogo ni changamoto. Ni hatari vijana wa HKL kujifanya mnahoji maprofessor wa epidemiology kutoka Oxford tena sio kwa paper au experiment ila kwa hearsay.

Hakuna aliyesema mtumie chanjo za wazungu..... China wanatengeneza zao so does Russia, nyie mnakwama wapi? Kwanini kila siku kulaumu wazungu? Ile ni chanjo yao nyie yenu ikwapi ambayo ipo perfect?

Kuna wakati huwa nashindwa kuelewa waTZ sijui elimu ni changamoto. Ile Radiotherapy treatment pale ocean Road 38% hupata madhara ya organ failure ni lini umewahi sikia imefungiwa au kulaumu mabeberu kutupatia?? Mmekaririshwa tu kwamba chanjo ya Covid ndio ina side effects ila dawa zote duniani eti hazina effects?

Aliyesema "wajinga ndiyo waliwao" aliona mbali sana kwa kujua mijinga jinga itakuwapo tu.
 
kuna vitu sio vya kutamani
Screenshot_20210512-192312.jpg
 
Unataka kusema Tanzania tupo salama dhidi ya Corona sababu ya WATAALAM.?
nchi nyingine HAZINA WATAALAM?
Wataalamu dhidi ya mamburula (pedestrians). Hii inaweza kutokea Tanzania tu.

Madhara ya dhahiri ya kupuuzwa mno kwa taaluma na wataalamu katika awamu ile yenye kiza kinene.
 
Unataka kusema Tanzania tupo salama dhidi ya Corona sababu ya WATAALAM.?
nchi nyingine HAZINA WATAALAM?

Nchi zote ziko salama ushukuriwe uwepo
wa wataalamu husika. Utaalamu dhidi ya magonjwa siyo siri. Utalaamu wa magonjwa ya milipuko hauna mipaka. Ndiyo maana haipo hati miliki ya:

1. Namna za kinga zinzojulikana. Kunawa nawa mikono, kuvaa barakoa na social distancing ni global.
2. Matumizi ya chanjo ni global.
3. WHO ni global coordinator.
4. Nk, nk.

Si unaona hawa ndugu zako?

IMG_20210513_172321_035.jpg


Kwani kawafunda nani hawa kusherehekea Eid salama?
 
Nchi zote zipo salama?.
Wakati HAO WATAALAM walichezea vipigo.
Mpaka wakaanza KAULI mbiu.
"STAY HOME FOR US"
Tanzania hatupo salama kwenye Corona SABABU ya WATAALAM wetu.
Hawa hawajapata tabu kama wenzao huko.

NI MUNGU TU
Nchi zote ziko salama ushukuriwe uwepo
wa wataalamu husika. Utaalamu dhidi ya magonjwa siyo siri. Utalaamu wa magonjwa ya milipuko hauna mipaka. Ndiyo maana haipo hati miliki ya:

1. Namna za kinga zinzojulikana. Kunawa nawa mikono, kuvaa barakoa na social distancing ni global.
2. Matumizi ya chanjo ni global.
3. WHO ni global coordinator.
4. Nk, nk.

Si unaona hawa ndugu zako?

View attachment 1783961

Kwani kawafunda nani kusherehekea Eid salama?
 
Nchi zote zipo salama?.
Wakati HAO WATAALAM walichezea vipigo.
Mpaka wakaanza KAULI mbiu.
"STAY HOME FOR US"
Tanzania hatupo salama kwenye Corona SABABU ya WATAALAM wetu.
Hawa hawajapata tabu kama wenzao huko.

NI MUNGU TU

Mara hii umesahau kinara wa kuifukuza Corona kwa maombi na nyungu yuko wapi?

Pana mwingine hapa.

IMG_20210514_073114_314.jpg


Kwani huyu jamaa ana simile?

IMG_20210508_211811_711.jpg


 
Huyo amekufa Kwa AHADI ALIYOWEKEANA NA MUNGU WAKE.
angekufa Kwa UGONJWA wowote.ili mradi siku yake iwe imefika
Mara hii umesahau kinara wa kuifukuza Corona kwa maombi na nyungu yuko wapi?

Pana mwingine hapa.

View attachment 1783980

Kwani huyu jamaa ana simile?

View attachment 1783979

 
Hoja kama ya 5G ni korona ? Utakuwa mwehu kubishana nae. Hajui physics anawaambia watu 5G ni korona! Mjinga tu ndio amaweza kumuamini.
Unabishana vipi na layman.
Gwaji ni layman katika udaktari, hii dunia ni kubwa sana kisha unajifanya kujua kila kitu.
Profesa wa udaktari anaezalisha madaktari atoe majibu kisha tumuamini Gwajima kwa habari za mitandaoni na tukatae majibu ya mtaalamu, huo sio ujuha.
Awe ananukuu vifungu vya biblia, hio ndio fani yake maji yanayomzidi ayaache wayaoge wenye weledi nayo.

unawezamtaja mtaalamu yeyote ili ajibu hayo kwa ufasaha???

corona imetokana na nini??tiba yake??
chanjo inakwendaje kufanya kazi mwilini?na imefaulu lini majaribio??

ni kweli gwajima hawezi kuwa mtaalamu kwa kila jambo,lakini ana uwezo mkubwa sana kujenga hoja,kitu ambacho huna.ukimsikiliza kwa utulivu utajua anataka utulize akili,sio kumsikiliza huku unawaza akikata viuno.
 
Pole Sana.
magufuli alikutoa Knock out kwenye Corona[emoji16][emoji16][emoji16] .
Tunadunda Tu..
No barakoa,no sanitizer,no maji tiririka.
Achana na hii nchi
MUNGU YUPO.
eti cha indiaa
Chukua kamba ukajinyonge, siku yako leo imefika.
 
Pole Sana.
magufuli alikutoa Knock out kwenye Corona[emoji16][emoji16][emoji16] .
Tunadunda Tu..
No barakoa,no sanitizer,no maji tiririka.
Achana na hii nchi
MUNGU YUPO.
eti cha indiaa

Tunasubiria ripoti ya wataalamu ya mama. Wamjua Mungu mjinga wewe kuliko hawa:

IMG_20210514_080444_632.jpg


Kweli katutoa knock out ndiyo maana aliko yuko anatucheki na kujisemea: "hiiiiii."
 
Back
Top Bottom