Tangantika
JF-Expert Member
- Aug 12, 2018
- 5,586
- 7,087
Hoja kama ya 5G ni korona ? Utakuwa mwehu kubishana nae. Hajui physics anawaambia watu 5G ni korona! Mjinga tu ndio amaweza kumuamini.mimi nimeuliza tu,unaweza kupambana na gwajima katika kujenga hoja,tuliachana na uzinzi maana huko inawezekana unampiga 5:0.
Kwa nukuu hii wewe msomi wetu unatushaurije sisi maamuma, Kazi iendelee au tuzime jiko?“Wametoa ruhusa huku wakiendelea na utafiti mwingine kuona kama faida walizoziona zinaendelea kuwepo au kutaibuka madhara ambayo hawakuyaona awali,” alisema.
Acha dharau, hospital lazima utaenda no substitute,sio police hiyoGwajima yupo sawa huyo Dr ni Muongo
Kama wataalamu wenyewe Ndo hawa walioko vyuoni bora kwenda VETA
Gwajima ana uelewa gani??tukiachana na uzinzi wake,wewe unaweza kumshinda gwajima kwa uelewa wa mambo,
au kujenga hoja??
Shida ya UVCCM wengi elimu ndogo ni changamoto. Ni hatari vijana wa HKL kujifanya mnahoji maprofessor wa epidemiology kutoka Oxford tena sio kwa paper au experiment ila kwa hearsay.Hao wataalam mbona sasa wamemuunga mkono kwamba hiyo dawa ni ya majaribio, sijaona sehemu wamekanusha hilo, sasa sijajua kukosoa maana yake nini?
Na pia huyo anyejiita mtaalam kusema kwamba MRNA haiingii kwenye nucleus hivyo madhara tajwa hayapo nadhani hajielewi, hiyo ni sawa na kusema nikiingia ndani kwako kukuletea ujumbe ndio ujumbe unafika, bali nikiishia dirishani kwako na kukufikishia ujumbe kwa sauti kubwa kupitia dirishani basi ujumbe unakuwa haufiki.
Madalali wa chanjo wanahangaika sana ili wapige 10%
Shida ya UVCCM wengi elimu ndogo ni changamoto. Ni hatari vijana wa HKL kujifanya mnahoji maprofessor wa epidemiology kutoka Oxford tena sio kwa paper au experiment ila kwa hearsay.
Hakuna aliyesema mtumie chanjo za wazungu..... China wanatengeneza zao so does Russia, nyie mnakwama wapi? Kwanini kila siku kulaumu wazungu? Ile ni chanjo yao nyie yenu ikwapi ambayo ipo perfect?
Kuna wakati huwa nashindwa kuelewa waTZ sijui elimu ni changamoto. Ile Radiotherapy treatment pale ocean Road 38% hupata madhara ya organ failure ni lini umewahi sikia imefungiwa au kulaumu mabeberu kutupatia?? Mmekaririshwa tu kwamba chanjo ya Covid ndio ina side effects ila dawa zote duniani eti hazina effects?
Wataalamu dhidi ya mamburula (pedestrians). Hii inaweza kutokea Tanzania tu.
Madhara ya dhahiri ya kupuuzwa mno kwa taaluma na wataalamu katika awamu ile yenye kiza kinene.
Unataka kusema Tanzania tupo salama dhidi ya Corona sababu ya WATAALAM.?
nchi nyingine HAZINA WATAALAM?
Nchi zote ziko salama ushukuriwe uwepo
wa wataalamu husika. Utaalamu dhidi ya magonjwa siyo siri. Utalaamu wa magonjwa ya milipuko hauna mipaka. Ndiyo maana haipo hati miliki ya:
1. Namna za kinga zinzojulikana. Kunawa nawa mikono, kuvaa barakoa na social distancing ni global.
2. Matumizi ya chanjo ni global.
3. WHO ni global coordinator.
4. Nk, nk.
Si unaona hawa ndugu zako?
View attachment 1783961
Kwani kawafunda nani kusherehekea Eid salama?
Nchi zote zipo salama?.
Wakati HAO WATAALAM walichezea vipigo.
Mpaka wakaanza KAULI mbiu.
"STAY HOME FOR US"
Tanzania hatupo salama kwenye Corona SABABU ya WATAALAM wetu.
Hawa hawajapata tabu kama wenzao huko.
NI MUNGU TU
Mara hii umesahau kinara wa kuifukuza Corona kwa maombi na nyungu yuko wapi?
Pana mwingine hapa.
View attachment 1783980
Kwani huyu jamaa ana simile?
View attachment 1783979
Prominent COVID conspiracy theorist dies of virus
Mabibi na mabwana yamesemwa mengi na hata yamerushwa matusi mengi. Uzuri ni kuwa wapigania haki za watu kuishi hawana tuzo wala utambulisho wanaotaka kibinafsi hapa duniani wala huko juu mbinguni. Hapa yupo mwingine alikuwa mshupavu kweri kweri: Wajameni haka kaugonjwa kana tabia mbaya ya...www.jamiiforums.com
Hoja kama ya 5G ni korona ? Utakuwa mwehu kubishana nae. Hajui physics anawaambia watu 5G ni korona! Mjinga tu ndio amaweza kumuamini.
Unabishana vipi na layman.
Gwaji ni layman katika udaktari, hii dunia ni kubwa sana kisha unajifanya kujua kila kitu.
Profesa wa udaktari anaezalisha madaktari atoe majibu kisha tumuamini Gwajima kwa habari za mitandaoni na tukatae majibu ya mtaalamu, huo sio ujuha.
Awe ananukuu vifungu vya biblia, hio ndio fani yake maji yanayomzidi ayaache wayaoge wenye weledi nayo.
Huyo amekufa Kwa AHADI ALIYOWEKEANA NA MUNGU WAKE.
angekufa Kwa UGONJWA wowote.ili mradi siku yake iwe imefika
Chukua kamba ukajinyonge, siku yako leo imefika.
Pole Sana.
magufuli alikutoa Knock out kwenye Corona[emoji16][emoji16][emoji16] .
Tunadunda Tu..
No barakoa,no sanitizer,no maji tiririka.
Achana na hii nchi
MUNGU YUPO.
eti cha indiaa
Tunasubiria ripoti ya wataalamu ya mama. Wamjua Mungu mjinga wewe kuliko hawa:
View attachment 1784005
Kweli katutoa knock out ndiyo maana aliko yuko anatucheki na kujisemea: "hiiiiii."