Kama unataka kufanywa panya wa majaribio si nenda tu Kenya, hakukatazi mtu, kila nchi na utaratibu wake
Kwani Gwajima ni nani hadi ajibiwe na WHO? waziri ameshasema clinical trials na tafiti zilionyesha faida ni kubwa kuliko hasara za kutumia chanjo iliyotengenezwa on short notice sasa mpaka hapo unataka majibu gani zaidi ya hayo?Chanjo ni ya majaribio, na sijaona sehemu mtu akikanusha hii hoja ya Gwajima, zingine ni kelele tu za madalali, tutengeneza yetu kwani ulisikia tunashida ya chanjo ya Corona?
unaweza niambia haya maneno umetoa wapi? Niletee document iliyoandika hiki hapa maana najua ww sio medicine expert.Chanjo imeruhusiwa kwa ‘Emergency use Authorisation’ , chanjo ya dharura simply means haijafahamika madhara yake na side effects zake kwa mida mrefu, na hiyo ndio maana ya majaribio, na katika hayo majaribio imegundulika kuna wanaoganda damu nk, kuna chanjo ya Astra zameca ilishapigwa marufuku mara kadhaa, ni sababu bado inajaribiwa, sasa sijajua nabishana nataahira au punguani, sielewi kabisa
unaweza niambia haya maneno umetoa wapi? Niletee document iliyoandika hiki hapa maana najua ww sio medicine expert.
Wakati bado nasubiri supporting document..... Chanjo zilifanyiwa clinical trials toka mwaka jana na ilirushwa live kwenye Tv. Na mwishoni ndio zikapitishwa kutumika kwa watu wote na sio kweli kwamba zilitoka maabara basi zikaanza sambazwa. Ni UONGO
Kingine Astra Zeneca imezuiwa kwa baadhi ya umri na nchi sababu ya risk tu ila sio kwamba ina makosa. Kuganda damu ni chini ya 0.00001 ya watumiaji zaidi ya million 50 wa chanjo hiyo sasa unaposema ina madhara je umepima ratio??? Hata Kansa katika kila watumiaji 100 fahamu wa tiba ya mionzi duniani 38 kati yao.... YES ni 38!! huwa wanapata madhara ya tiba hiyo tena ndani ya saa 24 za kwanza!! Kuanzia nywele kunyonyoka mpaka viungo kulemaa. Ila sijawahi sikia mkipiga marufuku ocean road!!
Then emergency maana yake ni kasi ya kuprocess na kutoa ruhusa ya chanjo kutumika lakini haimaanishi eti inakua ina mapungufu per se. Kuhusu madhara kisayansi unaweza estimate kwa kutumia data za wakati huo kubashiri huko mbele. Hyo ni kazi ya big data analytics!! Ambayo najua hujawahi isikia.
So mambo ya taaluma waachie WHO ww kabishane simba na yangu tu
Ni wapi sasa wamepingana na gwajima kwamba chanjo si ya majaribio?Kila nchi ina utaratibu wake. Utaratibu wa Tanzania uko hapa:
View attachment 1785663
Tupo tunaokataa kufanywa panya wa majaribio na kina Gwajima na pia na mamburula kama nyie.
Kama ya wataalamu hamuyataki si hamtachanjwa mtabakia hivyo hivyo? Shida iko wapi?
Kama la kukaa bila kuchanjwa nalo bado haliwatoshi ila mnaugulia mno kuona wengine tutachanjwa, fikirieni hata kuhamia Burundi.
Sio WHO, hao wataalam wanaodaiwa kumkosoa Gwajima, ni wapi wamekosoa juu ya chanjo kuwa ya majaribio?Kwani Gwajima ni nani hadi ajibiwe na WHO? waziri ameshasema clinical trials na tafiti zilionyesha faida ni kubwa kuliko hasara za kutumia chanjo iliyotengenezwa on short notice sasa mpaka hapo unataka majibu gani zaidi ya hayo?
Gwajima hana anachojua kuhusu sayansi.... Si ndio aliropoka kwamba 5G inaleta Covid 19? sasa Leo hii mnamuamini kuwa ni mchambuzi wa epidemiology?
Duh hii nchi ngumu sana
Nimetoa wapi? Kwahiyo huwa usikilizi hata taarifa za habari? BBC, CNN , Aljazeera nk?unaweza niambia haya maneno umetoa wapi? Niletee document iliyoandika hiki hapa maana najua ww sio medicine expert.
Wakati bado nasubiri supporting document..... Chanjo zilifanyiwa clinical trials toka mwaka jana na ilirushwa live kwenye Tv. Na mwishoni ndio zikapitishwa kutumika kwa watu wote na sio kweli kwamba zilitoka maabara basi zikaanza sambazwa. Ni UONGO
Kingine Astra Zeneca imezuiwa kwa baadhi ya umri na nchi sababu ya risk tu ila sio kwamba ina makosa. Kuganda damu ni chini ya 0.00001 ya watumiaji zaidi ya million 50 wa chanjo hiyo sasa unaposema ina madhara je umepima ratio??? Hata Kansa katika kila watumiaji 100 fahamu wa tiba ya mionzi duniani 38 kati yao.... YES ni 38!! huwa wanapata madhara ya tiba hiyo tena ndani ya saa 24 za kwanza!! Kuanzia nywele kunyonyoka mpaka viungo kulemaa. Ila sijawahi sikia mkipiga marufuku ocean road!!
Then emergency maana yake ni kasi ya kuprocess na kutoa ruhusa ya chanjo kutumika lakini haimaanishi eti inakua ina mapungufu per se. Kuhusu madhara kisayansi unaweza estimate kwa kutumia data za wakati huo kubashiri huko mbele. Hyo ni kazi ya big data analytics!! Ambayo najua hujawahi isikia.
So mambo ya taaluma waachie WHO ww kabishane simba na yangu tu
Sasa si ukanunue hilo gazeti usome!! Kwanini unalazimisha majibu yatoke kwa hao wataalamu pekee ilihali naibu waziri ameshajibu? Au unakubali kwamba waziri kapotosha umma.... Yaani daktari kapotosha ila mchungaji aliyebobea kwenye theology ndio yupo sahihi?Sio WHO, hao wataalam wanaodaiwa kumkosoa Gwajima, ni wapi wamekosoa juu ya chanjo kuwa ya majaribio?
Umewahi kuandika tafiti kweli? Lazima kila neno la kitakwimu uwe na chanzo cha taarifa kuepuka upotoshaji. Huwezi toa allegations nzito kama hizo alafu unatoa majibu mepesi eti BBC na Al Jazeera?? Embu nitumie link nikasikilize hiyo habari.Nimetoa wapi? Kwahiyo huwa usikilizi hata taarifa za habari? BBC, CNN , Aljazeera nk?
Kwani heading ya uzi inasemaje?, hebu isome tena. Huyo waziri ndio kasema chanjo sio ya majaribio?Sasa si ukanunue hilo gazeti usome!! Kwanini unalazimisha majibu yatoke kwa hao wataalamu pekee ilihali naibu waziri ameshajibu? Au unakubali kwamba waziri kapotosha umma.... Yaani daktari kapotosha ila mchungaji aliyebobea kwenye theology ndio yupo sahihi?
Duh
Kwani vyombo vya habari sio source ya taarifa? , Taarifa hizi zipo, fanya search kidogo google, acha uvivu.Umewahi kuandika tafiti kweli? Lazima kila neno la kitakwimu uwe na chanzo cha taarifa kuepuka upotoshaji. Huwezi toa allegations nzito kama hizo alafu unatoa majibu mepesi eti BBC na Al Jazeera?? Embu nitumie link nikasikilize hiyo habari.
Unashindanisha zero brain na intellectual? Yaani kuongea povu likitoka kwenye mic ndo hoja? Watu wa lumumba aliyewatoga kweli hakupiga mswaki siku hiyo.tukiachana na uzinzi wake,wewe unaweza kumshinda gwajima kwa uelewa wa mambo,
au kujenga hoja??