Wataalum wa uchumi kimewashinda nini kuikomboa thamani ya fedha yetu?

Lager

JF-Expert Member
Joined
Mar 4, 2019
Posts
395
Reaction score
1,085
Sitaki kuamini kuwa tunaenda kwa mwendo huu, mwendo wa fedha yetu kukosa thamani na kuzidi kudidimia chini.

Ni ajabu wana uchumi kashindwa kuikomboa fedha yetu, wazee wetu wanatuambia hapo kabla fedha ilikuwa imara lakini hivi sasa inakuwa mdebwedo.

Dola moja ni sawa na Tshs elfu 2000 na kitu, hivi hapo ndipo inapostahili kuwa fedha yetu na rate inaonekana kupanda, wachumi mnafanya nini ama kimekosekana nini?

Au kuna watu wana yao wanapiga dili, hii fedha yetu mbona siielewi?

Tatizo nini juu ya uchumi wetu?
 
Balance of trade/payment. Favourable vs Kimeo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…