Mmeku Tukulu
Member
- Feb 11, 2012
- 92
- 27
Katika kamusi iliyotolewa na Taasisi ya
Uchunguzi wa Kiswahili (Chuo Kikuu cha
Dar es Salaam), "English-Kiswahili
Dictionary" kuna neno CCM, n(abbr. of )
Chama cha Mapinduzi. Hivi kweli huku si
kuidhalilisha lugha ya kiswahili? Kifupisho
cha chama fulani kinawezaje kuwa ni neno
rasmi katika lugha ya kiswahii? Wataalamu
wa lugha tuwekeeni wanajamii ufafanuzi
maana vifupisho vya vya Tanzania na nchi
nyinginezo kinakozungumzwa viko vingi.
Uchunguzi wa Kiswahili (Chuo Kikuu cha
Dar es Salaam), "English-Kiswahili
Dictionary" kuna neno CCM, n(abbr. of )
Chama cha Mapinduzi. Hivi kweli huku si
kuidhalilisha lugha ya kiswahili? Kifupisho
cha chama fulani kinawezaje kuwa ni neno
rasmi katika lugha ya kiswahii? Wataalamu
wa lugha tuwekeeni wanajamii ufafanuzi
maana vifupisho vya vya Tanzania na nchi
nyinginezo kinakozungumzwa viko vingi.