Watafiti kujifungia "gesti" kupata data

Watafiti kujifungia "gesti" kupata data

Edo

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2008
Posts
727
Reaction score
93
Mtanzania jtano:

RAS Lindi kapasua jipu-kumbe watafiti wetu wanapokwenda mikoani kutafuta data wanajifungia gesti wanajaza madodoso wao wenyewe halafu wanavunga kuwa wamekusanya data hizo toka kwa walengwa. Nadhani hili ni moja ya tatizo kubwa karibu katika kila jambo tunalopanga sababu hatuna takwimu sahihi. Sijui sasa ina maana kila kitu hewa, watumishi hewa!!!
 
unajifungia ndani unatoa data za kiwango cha mavuno cha Mkoa. Ikitokea njaa inaonekana kuwa chakula kingi kiliuzwa badala ya kutunzwa na wakulima (ndio wanaposema kimevushwa kwenda nchi jirani). Kumbe hata data zenyewe hazikuwa sahihi. Ila kama China, tutaanza taratibu na tutafika, MINYORORO inawasubiri wahujumu.....
 
Mtanzania jtano:

RAS Lindi kapasua jipu-kumbe watafiti wetu wanapokwenda mikoani kutafuta data wanajifungia gesti wanajaza madodoso wao wenyewe halafu wanavunga kuwa wamekusanya data hizo toka kwa walengwa. Nadhani hili ni moja ya tatizo kubwa karibu katika kila jambo tunalopanga sababu hatuna takwimu sahihi. Sijui sasa ina maana kila kitu hewa, watumishi hewa!!!

Kuna mtu hapa hafanyi kazi yake. Analipwa vizuri, anaenda kazini kwa gari la Serikali , ofisi nzuri tu yenye kiyoyozi.
Halafu mtu anatuambia kitu ambacho alitakiwa akichukulie hatua.Hivi kwa nini RAS -Lindi hakuchukua hatua zaidi, au anangojea tume.Na huko ndiyo kushindwa kazi.
 
Back
Top Bottom