Mtanzania jtano:
RAS Lindi kapasua jipu-kumbe watafiti wetu wanapokwenda mikoani kutafuta data wanajifungia gesti wanajaza madodoso wao wenyewe halafu wanavunga kuwa wamekusanya data hizo toka kwa walengwa. Nadhani hili ni moja ya tatizo kubwa karibu katika kila jambo tunalopanga sababu hatuna takwimu sahihi. Sijui sasa ina maana kila kitu hewa, watumishi hewa!!!
RAS Lindi kapasua jipu-kumbe watafiti wetu wanapokwenda mikoani kutafuta data wanajifungia gesti wanajaza madodoso wao wenyewe halafu wanavunga kuwa wamekusanya data hizo toka kwa walengwa. Nadhani hili ni moja ya tatizo kubwa karibu katika kila jambo tunalopanga sababu hatuna takwimu sahihi. Sijui sasa ina maana kila kitu hewa, watumishi hewa!!!