Hismastersvoice
JF-Expert Member
- Jan 26, 2013
- 21,741
- 26,735
Miaka ya huko nyuma kidogo watafiti mlituletea viazi karoti au viazi lishe, viazi hivi vilikuwa vya njano ndani na mlituambia vina ubora mkubwa kwenye lishe kuliko vilivyopo vya asili.
Lakini havikuchukua muda vikatoweka kwenye soko, baada ya kutoweka sijasikia mkijaribu kuvifufua, sijui sababu labda nyie mnayo.
Kama ipo sababu ya kutoweka kwake tujulisheni na kama havina madhara na ni bora vifufueni ili vitumike kwenye shule za msingi ambako watoto wanaonekana wanautapia mlo.
Lakini havikuchukua muda vikatoweka kwenye soko, baada ya kutoweka sijasikia mkijaribu kuvifufua, sijui sababu labda nyie mnayo.
Kama ipo sababu ya kutoweka kwake tujulisheni na kama havina madhara na ni bora vifufueni ili vitumike kwenye shule za msingi ambako watoto wanaonekana wanautapia mlo.