kbm
JF-Expert Member
- Oct 5, 2012
- 5,224
- 1,677
Wanafunzi 1332 kati ya 3853 waliofanya mitihani ya Bodi ya Taifa ya Ukaguzi wa Hesabu nchini (NBAA) watarudia mitihani hiyo baada ya kufanya VIBAYA mitihani hiyo iliyofanyika Novemba mwaka huu.
Watahiniwa 703 sawa na 18.2% ndio waliofaulu, watahiniwa 1818 sawa na 47% hawakufaulu.
Mkurugenzi Mtendaji wa NBAA, Pius Maneno alisema watahiniwa 188 wamefaulu mtihani wa shahada ya juu ya Uhasibu nchini CPA, idadi hiyo inafanya watahiwa waliofaulu mitihani ya CPA mpaka sasa kufikia 4323 tangu kuanzishwa kwa mitihani hiyo mwaka 1975.
Source by Mwananchi.
Watahiniwa 703 sawa na 18.2% ndio waliofaulu, watahiniwa 1818 sawa na 47% hawakufaulu.
Mkurugenzi Mtendaji wa NBAA, Pius Maneno alisema watahiniwa 188 wamefaulu mtihani wa shahada ya juu ya Uhasibu nchini CPA, idadi hiyo inafanya watahiwa waliofaulu mitihani ya CPA mpaka sasa kufikia 4323 tangu kuanzishwa kwa mitihani hiyo mwaka 1975.
Source by Mwananchi.