Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Oyaaaa.[emoji2296][emoji2296][emoji2296][emoji2296]
Mwee sijui nilikuwa wapi kuiona hii notification
Uchonganishi huu jamani π
Nimekuuliza pale juu, unakuja kuni- seduce?? Unaruka maswali kama mtihani wa taifa sio?? Kwamba start with simple questions first??Uchonganishi huu jamani π
Yah tunaanzia marahisi, then magumu yanabaki mwishoni. Nakuja ndio kuku'seduce ππNimekuuliza pale juu, unakuja kuni- seduce?? Unaruka maswali kama mtihani wa taifa sio?? Kwamba start with simple questions first??
Anyway, nitume kwenye account ya equity au tigopesa???
Ndio ndioYah tunaanzia marahisi, then magumu yanabaki mwishoni. Nakuja ndio kuku'seduce ππ
Ac ya tigopesa tu, si ndio rahisi au?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hatari sana huyu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii ramli chonganishi umeanza lini
Siri ya kambi Brother[emoji2]How was it??
[emoji3][emoji3]
Usijali mkuu ipo siku kikubwa uzima [emoji847]1. Joannah
2. Shunie
3. financial services
Nawahusudu sana hao wadada and I wish one day nipate nao walau ka @lanchi
NakusalimiaUsijali mkuu ipo siku kikubwa uzima [emoji847]
Sijambo mimi vipi we mzeeNakusalimia
Salama kabisa.Sijambo mimi vipi we mzee
Nimefurahi kukuona kumbe upo.Salama kabisa
Thank you for the compliment dear FS.7) Paula Paul -lazima ni mtoto wa kishua huyu,napenda English yake[emoji7]