Wataje members watatu unayetamani kukutana nao

Kwahiyo ndio umeona ni mimi ninae tembea na uzi?

Leo usiku napiga desh...
Wapi nimesema unatembea na uzi..?

Desh ya wapi wakati unamkonyagi na makande..πŸ˜‚ nyie ndio mnatuleteaga magonjwa mtambuka..🀣
 
Wapi nimesema unatembea na uzi..?

Desh ya wapi wakati unamkonyagi na makande..πŸ˜‚ nyie ndio mnatuleteaga magonjwa mtambuka..🀣
Sasa kwanini ukanitag mimi kwenye comment ya yule jamaa?


Makande nimekula mchana, jioni nikashushia na safari 4 za baridi. Usiku huku nakula matokeo ya EPL tu
 
Sasa kwanini ukanitag mimi kwenye comment ya yule jamaa?


Makande nimekula mchana, jioni nikashushia na safari 4 za baridi. Usiku huku nakula matokeo ya EPL tu
Na ulivyolikomalia nashuku zaidi the ujumbe ze kuhusu..kwa maoni yangu lkn ila bwana aseme naweπŸ˜‚

Hongera kwa hilo mixer ila ktk harakati za uendeshaji sijui kesho utaanzia mbagala au jangwani nalo pia bwana aseme nawe..🀣
 
Sijawahi kutamani kuonana na member humu face to face

Angalizo, mimi ni old member msitishwe na joining date[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kuna old zaidi yako na watu hawaogopi.. by the way kuonana nawe itakuwa ni kutafuta changamoto hivyo don't worry I can tag you sincerely..😜
 
Kuna old zaidi yako na watu hawaogopi.. by the way kuonana nawe itakuwa ni kutafuta changamoto hivyo don't worry I can tag you sincerely..[emoji12]
We Kenzy familia yako nzima ipo humu, hebu pambana nayo kwanza, nimekwambia mimi ni member humu zaidi ya miaka 10
 
Umeambiwa watatu. πŸ˜† then Ginger ale hairuhusiwi
πŸ˜‚tena hiyo ndo ilipaswa kuwa ya kwanza sijui nimejisahau vipi jamani.

Mjep Mjep natamani kukuona hakyanani tena nikunywe ginger ale matata sanaaaa....maana daslam hizo hazipo🀣🀣🀣
 
Na ulivyolikomalia nashuku zaidi the ujumbe ze kuhusu..kwa maoni yangu lkn ila bwana aseme naweπŸ˜‚

Hongera kwa hilo mixer ila ktk harakati za uendeshaji sijui kesho utaanzia mbagala au jangwani nalo pia bwana aseme nawe..🀣
Bwana atanipigania πŸ˜€πŸ˜€

Kesho naanzia Bunju kuja Makumbusho
 
Achante chana.. mi wakwanza anajijua wapili nakuweka wewe,watatu ledada wanne Kasie watano Depal wasita mchawi wetu mshana..πŸ˜‚ Me too

Nakadharika..😜


Aaahahahahahahhaaa Kiberengeeeeehhh 🀣🀣🀣🀣🀣
Nimezeeka ujue nimepunguza sana uchokozi.
 
Bwana atanipigania πŸ˜€πŸ˜€

Kesho naanzia Bunju kuja Makumbusho
Nakusihi hivi sasa shika Bible Anza kuimba kale kawimbo "tendaa muujiza...🎢🎢🎢
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…