Wataje members watatu unayetamani kukutana nao

Wataje members watatu unayetamani kukutana nao

Sijamwambia. Na sahii ameshalewa ganger ale huyo hata njia ya huko PM haioni 😀😀
😅😅😅😅😅naona umeamua kujipa moyo😁😁

Huyo namsagia juice moja matata sana au bavari baridi kabisa😅😅lazima ginger ale ikate😆
 
How i wish to meet these people.
1) Kasie mahaba- napenda stories zake huwa naenjoy, pia anasemaga yeye ni bibi ila nahisi ni kabinti tu anatuzuga.
2) Masterplan - Plans master
3) Kichwa Kichafu- ana madini fulani hivi afu alikuaga babe ila kaniacha
4) SHIMBA YA BUYENZE - Salimet afu huwa nahisi si mbongo huyu
5) Sky Eclat - Doctor herself na ana madini fulani ya afya muhimu
6) miminimkulimaakachekasana - nahisi nikimuona tu ntaanza kucheka hili jina
7) Paula Paul -lazima ni mtoto wa kishua huyu,napenda English yake😍

Na wengineo kibao, ingewezekana siku tuonane wote tu tupige mastories mpaka basi, usiku mwemaa.
 
How i wish to meet these people.
1) Kasie mahaba- napenda stories zake huwa naenjoy, pia anasemaga yeye ni bibi ila nahisi ni kabinti tu anatuzuga.
2) Masterplan - Plans master
3) Kichwa Kichafu- ana madini fulani hivi afu alikuaga babe ila kaniacha
4) SHIMBA YA BUYENZE - Salimet afu huwa nahisi si mbongo huyu
5) Sky Eclat - Doctor herself na ana madini fulani ya afya muhimu
6) miminimkulimaakachekasana - nahisi nikimuona tu ntaanza kucheka hili jina
7) Paula Paul -lazima ni mtoto wa kishua huyu,napenda English yake😍

Na wengineo kibao, ingewezekana siku tuonane wote tu tupige mastories mpaka basi, usiku mwemaa.
🙏🏾
 
Back
Top Bottom