Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Mhhhhππππ, Sina helaππLenie shoga za leo my dear sasa huyu mtu Intelligent businessman ameniambia kuwa eti anataka akutoe out weekend hii unaonaje
Eh ukoje wewe umeniambia nimwambie halafu unakanaMhhhhππππ, Sina helaππ
Sawa ila haujaachwa pending lione wanaume wenzako , wanapiga shoo saivi wewe unagombania uzi wananani unatrendSema wako hau trendπππ
Wataka kumtunuku mbunye mkuuUkiongea kiswahili nazawadi yako
Sio hicho ndio kipo tu hapana kuna vitu vyakumjenga mtuWataka kumtunuku mbunye mkuu
Mfuko wake tu, me sina pingamizi mbonaπ€Lenie shoga za leo my dear sasa huyu mtu Intelligent businessman ameniambia kuwa eti anataka akutoe out weekend hii unaonaje
Alisema shoo atakutoa hoteli yabsea cliffMfuko wake tu, me sina pingamizi mbonaπ€
Intelligent businessman
I'm redeeeeAlisema shoo atakutoa hoteli yabsea cliff
Vaa ile gauni fupi nyekundu inayokushika vyema ile ni nzuri sanaI'm redeeee
Ngoja niandae kiwalo π
Hizi sasa dharau kila siku kuna mwana anashusha uzi mmoja anatafuta mchumba anaepajua tnt we unakausha kumbe unauhitaji, mkuu MD5 fanya upitie maeneo hayaNatafuta mchumba....
Salamu nyingi kwako chakorii, I glad see you again.Wapo kama kumi hiviβ¦lakini sitomtaja yeyote[emoji16] ili kuepusha maswali yaliyo na maana[emoji2222][emoji2222][emoji2222]
πππ Nitatokelezea balaaVaa ile gauni fupi nyekundu inayokushika vyema ile ni nzuri sana
Hana vigezo vyangu shidaHizi sasa dharau kila siku kuna mwana anashusha uzi mmoja anatafuta mchumba anaepajua tnt we unakausha kumbe unauhitaji, mkuu MD5 fanya upitie maeneo haya
Hahaha mpunguzie mashartiHana vigezo vyangu shida
Basi ile gauni ya njano inayobwaga ili ule kwa rahaπππ Nitatokelezea balaa
Ila me naenda kwa ajili ya kula tuππ
Sasa gauni ya kubana itanichora kitambi nikishiba