Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Sina helaaa tatizo😂🤣🤣Aisee hapana niouting tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sina helaaa tatizo😂🤣🤣Aisee hapana niouting tu
Kwa Ke hata utumiaje huwezi kosa marafiki labda uwe na dharau pro max ila Ke kutokua na rafiki kwenye platform yoyote ni nadra sana.Yeah,itumie vyema tu jf.....magumu yapo lakini mazuri yapo pia....ni wewe utakavyoitumia jf
Mbona hujakataa kunipeleka mimi nimimi nimekukata??Sina helaaa tatizo😂🤣🤣
Sa itakuaje na me nishajiandaaMi jobless bhana🤣😂😂😂
Amesema anahela ya samaki samaki lazima akupeleke periodSa itakuaje na me nishajiandaa
Kama kipi?Hana vigezo vyangu shida
Humu kila mtu anarafiki yake sio mpenzi au mchumba ni mtu mliyeshibana wataje au mtaje.
Mie marafiki zangu ni wowote wale wanaonisema vizuri,kunijali
Goood day
Nime kukosea nini binti maua Unique Flower 🤒🤐🙉Amesema anahela ya samaki samaki lazima akupeleke period
Sitaki kuupoteza u single wangu🤣😂🤣🤣Sa itakuaje na me nishajiandaa
Bwege wewe😂🤣🤣, Ume nikataa lini😂🤣Mbona hujakataa kunipeleka mimi nimimi nimekukata??
Kuna watu humu wameshibana afu kuna mm sasa🤣🤣🤣jeshi la mtu Moja, nikipenda mada nareply kama sijaipenda kimya kimya napitia 😁Kumbe watu mmeshibana humu na hamsemi😃😃🤔
Sina Hata mmojaHumu kila mtu anarafiki yake sio mpenzi au mchumba ni mtu mliyeshibana wataje au mtaje.
Mie marafiki zangu ni wowote wale wanaonisema vizuri,kunijali
Goood day
Ndo iko hivyo rafiki yangu 😂😂😂👊👊Kuna watu humu wameshibana afu kuna mm sasa🤣🤣🤣jeshi la mtu Moja, nikipenda mada nareply kama sijaipenda kimya kimya napitia 😁
I will talk swahili but not here only in dp world threadsUkiongea kiswahili nazawadi yako
PNdo Uzi huu? Yani umekaa umekoswa kazi ukaamua ujaze server za JF
I want hereI will talk swahili but not here only in dp world threads