National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yesu....🙆♂️
Namuelewa sana.. sasa sijui ila sijui 😅😅.. litako kuwa na liweYesu....🙆♂️
Asante mwali, juzi wifi yako alikua anakuuliza kwamba umepotea zaidi naw days, nikamwambia yawezekana upobize na penzi jipya 😜
😀😀😀Humu nina marafiki wengii sanaaa ila Rafiki tulieshibana humuu ni mmoja tyuuuuu anaitwa maii dihaaaaaa😊😁😁😁!! Mkimuona huko kwenyuu msalimieniiiiiii sana!
Naona watru na marafiki zeinyuuu mlioshibanaaa 😂🤠!!
Nani huyo 🤣🤣🤣Naona watru na marafiki zeinyuuu mlioshibanaaa 😂🤠!!
Si kama mada inavohusu jamane!Nani huyo 🤣🤣🤣
😀😀😀Si kama mada inavohusu jamane!
Hongereni sana na mungu awapiganie mshibane kweriiii kweriiii!!!😊
HAHAAAAAAAAA ASIEEE UPONatafuta mchumba....
Hujanimalizia ile inshu
Unaheraa maana unatulizwa tu na mfuko umetoboka au nikupe jimama likakutunze kwa miezi miwili unakula vitramu unatoa shoo kila atakapoNatafuta mwanamke wa kunituliza akili anipm seriously 25_30yrs
njoo ewe chapu mifuko imetunaUnaheraa maana unatulizwa tu na mfuko umetoboka au nikupe jimama likakutunze kwa miezi miwili unakula vitramu unatoa shoo kila atakapo
hilo lishangazi ni la kwenda sio bure naona unalipigia upatu.😀Unaheraa maana unatulizwa tu na mfuko umetoboka au nikupe jimama likakutunze kwa miezi miwili unakula vitramu unatoa shoo kila atakapo
Basi upate kakatoto kaliko maliza form four mwaka jana ila unahela ?? Au ndio unajishaUahilo lishangazi ni la kwenda sio bure naona unalipigia upatu.😀
Ndio nani??Ukitaka uwe rafiki yangu hakikisha unamsemea vizuri Dr.SSH.
I miss you ❤️😘🌹Hujanimalizia ile inshu