nosense ideas..kwa sababu zipi za kupeleka vijana jkt kama uzalendo hao mliowapeleka zamani ndo wala rushwa na mafisadi wa kunuka kwenye serikalini yenu ya kindugu..mnajipa artenative way za kuingiza pesa za walipa kodi..kupoteza hela bure za walipa kodi bora mngezingiza hizo hela kwenye bodi ya mkopo mngewasaidia kweli hao vijana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.