Ni Tanzania tu kila jambo ni kumfurahisha mwanasiasa. Haingii akilini chanjo inasababisha matatizo kwa wengine mpaka kufa then TFF inasisitiza watu waende kuchanjwa kitu ambacho ni hatari.
Labda waseme chanjo itakupa nguvu za ziada kupigana vikumbo kuingia uwanjani. Hapo wanaweza pata 'wateja'.Uchanje uingie Bure uwanjani kwani ikichanjwa hakuna mabadiliko ya mwili? Usijekuwa unaingia uwanjani kusinzia mwanzo mwisho!!!!
Chanjo mbona n nzur tu nguvu Kubwa Sana ya nn ndomana watu wanakuwa waoga kuchanja
Kuna Mtanzania yeyote aliyekufa kwa sababu ya Chanjo?Ni Tanzania tu kila jambo ni kumfurahisha mwanasiasa. Haingii akilini chanjo inasababisha matatizo kwa wengine mpaka kufa then TFF inasisitiza watu waende kuchanjwa kitu ambacho ni hatari.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uchanje uingie Bure uwanjani kwani ikichanjwa hakuna mabadiliko ya mwili? Usijekuwa unaingia uwanjani kusinzia mwanzo mwisho!!!!
Noma!ππππHata kama wakisema ukichanja unapewa Milioni na papuchi juu SICHANJI
Walisema inagomban
Labda chanjo ya ukimwi ndo itagombaniwaWalisema inagombaniwa kama njugu
Kizuri Chajiuza, Kibaya ChajitembezaUbunivu wa hovyo huu. Tuna ombwe kubwa la uongozi nchi hii.