Watakaogeuka Kuwa Maadui Wakubwa wa Mbowe na CHADEMA, ni Wanachama na Wapenzi wa CHADEMA wa Sasa

Watakaogeuka Kuwa Maadui Wakubwa wa Mbowe na CHADEMA, ni Wanachama na Wapenzi wa CHADEMA wa Sasa

Bams

JF-Expert Member
Joined
Oct 19, 2010
Posts
19,362
Reaction score
48,879
Hakuna aliyetarajia kuwa Mbowe angekosa hekima katika kufikia maamuzi ya ama kugombea au kupumzika, mpaka iliposhuhudiwa leo.

1. Kwa kuzingatia misingi ya demokrasia, Lisu alistahili kushindani katika nafasi anayogombea, lakini mpinzani huyo hakustahili kuwa MBOWE.

2. Mbowe, kiuhalisia, hata kuwepo kwenye nafasi hiyo kwa miaka 21, tayari ame-over stay. Angekuwa na hekima asingeendelea kuing'ang'ania nafasi hiyo tena.

3. Wanachama na wapenzi wengi wa CHADEMA, wataanza kumwona Mbowe kuwa ni adui mkubwa wa demokrasia, mbinafsi anayeamini kuwa hakuna mtu mwenye uwezo kama wa kwake au kumzidi yeye.

4. Kung'ang'ania kwake madaraka kunapeleka ujumbe muhimu kwa wananchi kwamba Mbowe alipokuwa anasema kuwa uongozi kwenye vyama vya upinzani ni mateso, labda anaongelea watu wengine, lakini kwake binafsi, uongozi huo unamnufaisha na kumfaidisha. Kiuhalisia ni kwamba huwezi kung'ang'ania mateso. Tena akitokea mwingine kuwa tayari kuyabeba hayo mateso, utashukuru sana.

5. Mvurugano na mpasuko alioutengeneza Mbowe ndani ya CHADEMA, unaimaliza CHADEMA, hivyo wanachama wa CHADEMA ambao waliitaka CHADEMA iwe na nguvu zaidi ili kupambana na CCM, watamchukia Mbowe kwa kiwango ambacho hakukitarajia. Mbowe atageuka kuwa adui mkubwa wa wanachama wa CHADEMA, naye atakuwa rafiki mkubwa wa CCM, japo kwa siri, kwa maana ameweza kusaidia kufanikisha malengo ya CCM ya kuua upinzani. Lakini asichokijua ni kuwa baada ya kuisaidia CCM kuiua CHADEMA, CCM hawatakuwa na muda naye kwa sababu CHADEMA haitakuwa threat wala kuwa competitor. CCM itaelekeza nguvu zake kwa kiongozi atakayekuwa akiongoza chama cha upinzani chenye nguvu, inaweza kuwa ni CHAUMA au ACT, kama Lisu atahamia kwenye chama kimojawapo. Itakapofikia hatua hiyo, Mbowe atapozwa na cheo cha Parole, kama ilivyokuwa kwa marehemu Mrema.
 
swali: wakati mbowe anabadilisha katiba na kuondoa ukomo wa uongozi (nafikiri ilikuwa ni mlimani city) tundu lisu & co. walikuwa wapi kupinga? why now? matter of fact waliohoji mbowe kujiwekea uongozi wa kudumu walishambuliwa vikali na wanaomshambulia mbowe leo hii, swali langu la msingi ni hilo kwa nini tundu lisu hakupinga kwa nguvu zote kuondolewa kwa ukomo wa uongozi chadema? alishiriki kwenye zoezi na alisapoti sasa tatizo la mbowe kugombea liko wapi kama anaona bado ana uwezo? katiba inamruhusu, shida iko wapi ?
 
Hakuna aliyetarajia kuwa Mbowe angekosa hekima katika kufikia maamuzi ya ama kugombea au kupumzika, mpaka iliposhuhudiwa leo.

1. Kwa kuzingatia misingi ya demokrasia, Lisu alistahili kushindani katika nafasi anayogombea, lakini mpinzani huyo hakustahili kuwa MBOWE.

2. Mbowe, kiuhalisia, hata kuwepo kwenye nafasi hiyo kwa miaka 21, tayari ame-over stay. Angekuwa na hekima asingeendelea kuing'ang'ania nafasi hiyo tena.

3. Wanachama na wapenzi wengi wa CHADEMA, wataanza kumwona Mbowe kuwa ni adui mkubwa wa demokrasia, mbinafsi anayeamini kuwa hakuna mtu mwenye uwezo kama wa kwake au kumzidi yeye.

4. Kung'ang'ania kwake madaraka kunapeleka ujumbe muhimu kwa wananchi kwamba Mbowe alipokuwa anasema kuwa uongozi kwenye vyama vya upinzani ni mateso, labda anaongelea watu wengine, lakini kwake binafsi, uongozi huo unamnufaisha na kumfaidisha. Kiuhalisia ni kwamba huwezi kung'ang'ania mateso. Tena akitokea mwingine kuwa tayari kuyabeba hayo mateso, utashukuru sana.

5. Mvurugano na mpasuko alioutengeneza Mbowe ndani ya CHADEMA, unaimaliza CHADEMA, hivyo wanachama wa CHADEMA ambao waliitaka CHADEMA iwe na nguvu zaidi ili kupambana na CCM, watamchukia Mbowe kwa kiwango ambacho hakukitarajia. Mbowe atageuka kuwa adui mkubwa wa wanachama wa CHADEMA, naye atakuwa rafiki mkubwa wa CCM, japo kwa siri, kwa maana ameweza kusaidia kufanikisha malengo ya CCM ya kuua upinzani. Lakini asichokijua ni kuwa baada ya kuisaidia CCM kuiua CHADEMA, CCM hawatakuwa na muda naye kwa sababu CHADEMA haitakuwa threat wala kuwa competitor. CCM itaelekeza nguvu zake kwa kiongozi atakayekuwa akiongoza chama cha upinzani chenye nguvu, inaweza kuwa ni CHAUMA au ACT, kama Lisu atahamia kwenye chama kimojawapo. Itakapofikia hatua hiyo, Mbowe atapozwa na cheo cha Parole, kama ilivyokuwa kwa marehemu Mrema.
Mbowe na hao wahuni wenzake wana project na CCM. Mbowe ni mhuni na ukimzingatia unapoteza muda wako bure. Sasa angalia na wanaomshabikia ndipo utachoka kabisa
 
2. Mbowe, kiuhalisia, hata kuwepo kwenye nafasi hiyo kwa miaka 21, tayari ame-over stay. Angekuwa na hekima asingeendelea kuing'ang'ania nafasi hiyo tena.
Kwa katiba ya CHADEMA, overstaying inaanzia muda gani?
 
Hamasisheni mkapige kura ili mkikomboe chama chenu kupitia Lissu acheni kulia lia...hamuwezi kulazimisha watu wasigombee mkaita ndo demokrasia.... huyo kidume wenu Lissu mwambieni akapambane kwenye boksi la kura!!
Tatizo la box la kura ni kilicho nyuma ya Mbowe. Angekuwa anapambana na Mbowe per se isingekuwa shida na CHADEMA ingebaki moja regardless ya nani atashinda. Mbowe anasaidiwa na Samia, Samia mwenye polisi na TISS na fedha. CHADEMA itakuwa salama iwapo tu Lissu atashinda. Vinginevyo Mbowe akiweza kutumia ghilba alizopanga na akashinda, basi nina uhakika Chadema itakufa. Itakufa kwa sababu itakuwa chama ''chawa'' wa CCM, na hata wakipewa wabunge wa bure bado wananchi hawatai-support.
 
Hakuna aliyetarajia kuwa Mbowe angekosa hekima katika kufikia maamuzi ya ama kugombea au kupumzika, mpaka iliposhuhudiwa leo.

1. Kwa kuzingatia misingi ya demokrasia, Lisu alistahili kushindani katika nafasi anayogombea, lakini mpinzani huyo hakustahili kuwa MBOWE.

2. Mbowe, kiuhalisia, hata kuwepo kwenye nafasi hiyo kwa miaka 21, tayari ame-over stay. Angekuwa na hekima asingeendelea kuing'ang'ania nafasi hiyo tena.

3. Wanachama na wapenzi wengi wa CHADEMA, wataanza kumwona Mbowe kuwa ni adui mkubwa wa demokrasia, mbinafsi anayeamini kuwa hakuna mtu mwenye uwezo kama wa kwake au kumzidi yeye.

4. Kung'ang'ania kwake madaraka kunapeleka ujumbe muhimu kwa wananchi kwamba Mbowe alipokuwa anasema kuwa uongozi kwenye vyama vya upinzani ni mateso, labda anaongelea watu wengine, lakini kwake binafsi, uongozi huo unamnufaisha na kumfaidisha. Kiuhalisia ni kwamba huwezi kung'ang'ania mateso. Tena akitokea mwingine kuwa tayari kuyabeba hayo mateso, utashukuru sana.

5. Mvurugano na mpasuko alioutengeneza Mbowe ndani ya CHADEMA, unaimaliza CHADEMA, hivyo wanachama wa CHADEMA ambao waliitaka CHADEMA iwe na nguvu zaidi ili kupambana na CCM, watamchukia Mbowe kwa kiwango ambacho hakukitarajia. Mbowe atageuka kuwa adui mkubwa wa wanachama wa CHADEMA, naye atakuwa rafiki mkubwa wa CCM, japo kwa siri, kwa maana ameweza kusaidia kufanikisha malengo ya CCM ya kuua upinzani. Lakini asichokijua ni kuwa baada ya kuisaidia CCM kuiua CHADEMA, CCM hawatakuwa na muda naye kwa sababu CHADEMA haitakuwa threat wala kuwa competitor. CCM itaelekeza nguvu zake kwa kiongozi atakayekuwa akiongoza chama cha upinzani chenye nguvu, inaweza kuwa ni CHAUMA au ACT, kama Lisu atahamia kwenye chama kimojawapo. Itakapofikia hatua hiyo, Mbowe atapozwa na cheo cha Parole, kama ilivyokuwa kwa marehemu Mrema.
Mbowe kaamua kuuza jasho na damu za wafia Chama kwa vipande vichache vya Fedha anavyopokea kutoka Chama cha Mapinduzi
 
Mtazamo wako umekaa vyema .

Ila TAL is not a diplomatic leader , kufika hatua hii ya kuimbwa Sana na kuonekana kuwa threat ,hii imetokana na kiu ya wananchi Kuona naodha wa kuongoza Mabadiliko.
So lissu yupo ndani ya wave au wimbi .

Point namba mbili ni kuwa TAL - hana sababu yoyote ya yeye kujiunga na vyama vingine vya upinzani Kama Chauma na Act., kwakuwa hivyo vyama havina utofauti wowote na chadema .

Ikiwa Lissu hatopata nafasi ya uenyekiti. Awe mwanaharakati huru na sio kujiunga na opposition.


Kwa upande wa mbowe , Mbowe ni mfanya Biashara mkubwa yeye pamoja na familia yake hivyo kushirikiana na Ccm inampa Sana nafasi kustawisha Biashara zake na anapoendelea kuwa mwenyekiti mazingira yake ya kibiashara yanakua zaidi.


TAL - hatoweza kupata nafasi hapo Chadema kwakuwa yeye ni mzee wa black and White.
 
Hakuna aliyetarajia kuwa Mbowe angekosa hekima katika kufikia maamuzi ya ama kugombea au kupumzika, mpaka iliposhuhudiwa leo.

1. Kwa kuzingatia misingi ya demokrasia, Lisu alistahili kushindani katika nafasi anayogombea, lakini mpinzani huyo hakustahili kuwa MBOWE.

2. Mbowe, kiuhalisia, hata kuwepo kwenye nafasi hiyo kwa miaka 21, tayari ame-over stay. Angekuwa na hekima asingeendelea kuing'ang'ania nafasi hiyo tena.

3. Wanachama na wapenzi wengi wa CHADEMA, wataanza kumwona Mbowe kuwa ni adui mkubwa wa demokrasia, mbinafsi anayeamini kuwa hakuna mtu mwenye uwezo kama wa kwake au kumzidi yeye.

4. Kung'ang'ania kwake madaraka kunapeleka ujumbe muhimu kwa wananchi kwamba Mbowe alipokuwa anasema kuwa uongozi kwenye vyama vya upinzani ni mateso, labda anaongelea watu wengine, lakini kwake binafsi, uongozi huo unamnufaisha na kumfaidisha. Kiuhalisia ni kwamba huwezi kung'ang'ania mateso. Tena akitokea mwingine kuwa tayari kuyabeba hayo mateso, utashukuru sana.

5. Mvurugano na mpasuko alioutengeneza Mbowe ndani ya CHADEMA, unaimaliza CHADEMA, hivyo wanachama wa CHADEMA ambao waliitaka CHADEMA iwe na nguvu zaidi ili kupambana na CCM, watamchukia Mbowe kwa kiwango ambacho hakukitarajia. Mbowe atageuka kuwa adui mkubwa wa wanachama wa CHADEMA, naye atakuwa rafiki mkubwa wa CCM, japo kwa siri, kwa maana ameweza kusaidia kufanikisha malengo ya CCM ya kuua upinzani. Lakini asichokijua ni kuwa baada ya kuisaidia CCM kuiua CHADEMA, CCM hawatakuwa na muda naye kwa sababu CHADEMA haitakuwa threat wala kuwa competitor. CCM itaelekeza nguvu zake kwa kiongozi atakayekuwa akiongoza chama cha upinzani chenye nguvu, inaweza kuwa ni CHAUMA au ACT, kama Lisu atahamia kwenye chama kimojawapo. Itakapofikia hatua hiyo, Mbowe atapozwa na cheo cha Parole, kama ilivyokuwa kwa marehemu Mrema.
Mbowe anadai ameamua kugombea sababu hawezi kuiacha CHADEMA ife (?).
Pia amesema amekuwa akiombwa aendelee kugombea, watu haohao wanaomfuata nyumbani kwake akagombee, hawakuonekana popote kuitikia wito wake alipowaita kwenye maandamano ya "Samia Must Go".

Mbowe anadai hsjawahi kufanya maamuzi binafsi, kila alichotangaza kilitokana na maamuzi ya vikao vya Kamati Kuu. Mimi ninajiuliza, yale maandamano aliyoyaitisha ya "Samia Must Go" yalimuriwa na Kamati ipi ya Chama?

Wakati wanaharakati nchini wakijadili uwezekano wa kufanya maandamano, wakiangalia namna ya kushirikiana na vyama vya siasa, ni Mbowe aliyeiua movement ile kkwa kutoa tamko la kustukiza la maandamano ya "Samia Must Go".

Baada ya vikao vyao vya muafaka, ilionekana dhahiri CHADEMA imeshatapeliwa na kupotezwa ni Lissu huyuhuyu aliyesimama man alone akitumia lugha ngumu na kali ndiye aliyefanikiwa kuirudishia uhai Chadema hata Mbowe akaja kukiri maridhiano yale walitapeliwa.

Katika hotuba yake, Mbowe ameonekana kupeleka mashambulizi kujibu kile kinachodaiwa kusemwa na Lissu ju yake, wakati ukimsikiliza Lissu, katika kauli zake amekuwa akimetea zaidi Mbowe, akimtenga na shutuma zinazoelekezwa kwa Mbowe.

Nimeshngaa Mbowe akimshambulia Lissu kwa ajili labda ya maoni ya wanaomuunga mkono Lissu.
KAtika hili swala la Lissu, ni dhahiri Mbowe huwa hamsikilizi Lisuu bali anasikiliza vile anavyotafsiriwa na wapambe wake juu ya alichokisema Lissu
 
swali: wakati mbowe anabadilisha katiba na kuondoa ukomo wa uongozi (nafikiri ilikuwa ni mlimani city) tundu lisu & co. walikuwa wapi kupinga? why now? matter of fact waliohoji mbowe kujiwekea uongozi wa kudumu walishambuliwa vikali na wanaomshambulia mbowe leo hii, swali langu la msingi ni hilo kwa nini tundu lisu hakupinga kwa nguvu zote kuondolewa kwa ukomo wa uongozi chadema? alishiriki kwenye zoezi na alisapoti sasa tatizo la mbowe kugombea liko wapi kama anaona bado ana uwezo? katiba inamruhusu, shida iko wapi ?
Mali ya mtu nadhani haihitaji ukomo wa umiliki Hadi Hadi iwe upeo wa HARD.
 
Hakuna aliyetarajia kuwa Mbowe angekosa hekima katika kufikia maamuzi ya ama kugombea au kupumzika, mpaka iliposhuhudiwa leo.

1. Kwa kuzingatia misingi ya demokrasia, Lisu alistahili kushindani katika nafasi anayogombea, lakini mpinzani huyo hakustahili kuwa MBOWE.

2. Mbowe, kiuhalisia, hata kuwepo kwenye nafasi hiyo kwa miaka 21, tayari ame-over stay. Angekuwa na hekima asingeendelea kuing'ang'ania nafasi hiyo tena.

3. Wanachama na wapenzi wengi wa CHADEMA, wataanza kumwona Mbowe kuwa ni adui mkubwa wa demokrasia, mbinafsi anayeamini kuwa hakuna mtu mwenye uwezo kama wa kwake au kumzidi yeye.

4. Kung'ang'ania kwake madaraka kunapeleka ujumbe muhimu kwa wananchi kwamba Mbowe alipokuwa anasema kuwa uongozi kwenye vyama vya upinzani ni mateso, labda anaongelea watu wengine, lakini kwake binafsi, uongozi huo unamnufaisha na kumfaidisha. Kiuhalisia ni kwamba huwezi kung'ang'ania mateso. Tena akitokea mwingine kuwa tayari kuyabeba hayo mateso, utashukuru sana.

5. Mvurugano na mpasuko alioutengeneza Mbowe ndani ya CHADEMA, unaimaliza CHADEMA, hivyo wanachama wa CHADEMA ambao waliitaka CHADEMA iwe na nguvu zaidi ili kupambana na CCM, watamchukia Mbowe kwa kiwango ambacho hakukitarajia. Mbowe atageuka kuwa adui mkubwa wa wanachama wa CHADEMA, naye atakuwa rafiki mkubwa wa CCM, japo kwa siri, kwa maana ameweza kusaidia kufanikisha malengo ya CCM ya kuua upinzani. Lakini asichokijua ni kuwa baada ya kuisaidia CCM kuiua CHADEMA, CCM hawatakuwa na muda naye kwa sababu CHADEMA haitakuwa threat wala kuwa competitor. CCM itaelekeza nguvu zake kwa kiongozi atakayekuwa akiongoza chama cha upinzani chenye nguvu, inaweza kuwa ni CHAUMA au ACT, kama Lisu atahamia kwenye chama kimojawapo. Itakapofikia hatua hiyo, Mbowe atapozwa na cheo cha Parole, kama ilivyokuwa kwa marehemu Mrema.
Mkuu nikazi ya wajumbe kuishangaza dunia, na kuwapa wanachama tabasam, Mbowe ni muhim kwenye chama ,lissu ni muhim kwenye chama , ila nyakati za sasa lissu zinamuhitaji lissu zaidi.

Wajumbe kazi kwenu
 
Kweli ndugu zangu 2025 tumkomoe Mbowe tumpigie Dakta Samia kura kwa hasira apate ushindi wa 99%
 
Back
Top Bottom