Watakaogombea Ubunge 2025 waje na job opportunities kwaajili ya vijana wetu badala ya kofia na mashati

Watakaogombea Ubunge 2025 waje na job opportunities kwaajili ya vijana wetu badala ya kofia na mashati

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
7,899
Reaction score
10,415
Watakao gombea ubunge 2025 waje na job opportunities kwaajili ya vijana wetu badala ya kofia na mashati.

Huko kwenye majimbo vijana wanahitaji ajira, kama mbunge hawezi kutengeneza ajira asichaguliwe ubunge. Maana huyo hana uwezo.

Huyu mgombea ubunge alikua anapeleka mchele kwa wananchi ili achaguliwe. Wananchi wamemtimua na mchele wake. Wanataka jobs na sio mchele. Wanataka jobs sio kofia na mashati.


Wakuu mnalionaje hili.
Liko poa eti eeeeeeeeeee. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Ilikuwa jimbo gani hill
Funzo kubwa sana
 
Watakao gombea ubunge 2025 waje na job opportunities kwaajili ya vijana wetu badala ya kofia na mashati.

Huko kwenye majimbo vijana wanahitaji ajira, kama mbunge hawezi kutengeneza ajira asichaguliwe ubunge. Maana huyo hana uwezo.

Huyu mgombea ubunge alikua anapeleka mchele kwa wananchi ili achaguliwe. Wananchi wamemtimua na mchele wake. Wanataka jobs na sio mchele. Wanataka jobs sio kofia na mashati.


Wakuu mnalionaje hili.
Liko poa eti eeeeeeeeeee. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Hiyo serikali kuu (rais)hana hiyo job opportuties sembuse mbunge?!!itakuwa kumuionea tu!!na kwa wapiga kura gani waliopo wa kuangalia hayo?mtaji wa CCM, ni umasikini wa wapiga kura!!
 
Waje na job opportunity wakati wanaingia madarakani kwa wizi wa kura? Kama tumeshakubali chaguzi zetu kunajisiwa, bila machafuko tutaendelea kupata hata wasiowajibika kwa wananchi bali kwa serikali.
 
Waje na job opportunity wakati wanaingia madarakani kwa wizi wa kura? Kama tumeshakubali chaguzi zetu kunajisiwa, bila machafuko tutaendelea kupata hata wasiowajibika kwa wananchi bali kwa serikali.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
 
Watakao gombea ubunge 2025 waje na job opportunities kwaajili ya vijana wetu badala ya kofia na mashati.

Huko kwenye majimbo vijana wanahitaji ajira, kama mbunge hawezi kutengeneza ajira asichaguliwe ubunge. Maana huyo hana uwezo.

Huyu mgombea ubunge alikua anapeleka mchele kwa wananchi ili achaguliwe. Wananchi wamemtimua na mchele wake. Wanataka jobs na sio mchele. Wanataka jobs sio kofia na mashati.


Wakuu mnalionaje hili.
Liko poa eti eeeeeeeeeee. 😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
CCM inawatumia kipindi cha kampeni kikiisha basi
 
Hadi 2025 wengine watakuwa wamekufa katika ufukara bila kuionja keki ya taifa
 
Back
Top Bottom