Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Afisa Elimu wa Mkoa Kilimanjaro, Paulina Mkwama amesema watakaopata chini ya Division 3 wajiandae kushtakiwa kwa uhujumi Uchumi.
Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Umbwe walipokuwa katika ziara ya Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Gerald Mweri.
Amesisitiza kuwa Serikali inagharamia kwa kulipa mishahara walimu na watumishi wa elimu halafu wakapata division 4 au sifuri, haikubaliki na wajiandae kushtakiwa kwa uhujumu uchumi.
Shule ya Sekondari ilikuwa na uwezo wa kuchukua wanafunzi 500 kutokana na uchakavu wa mabweni ambapo sasa imekarabatiwa hivyo itaweza kuchukua wanafunzi 700.
Ameyasema hayo alipokuwa akizungumza na wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Umbwe walipokuwa katika ziara ya Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais TAMISEMI, Gerald Mweri.
Amesisitiza kuwa Serikali inagharamia kwa kulipa mishahara walimu na watumishi wa elimu halafu wakapata division 4 au sifuri, haikubaliki na wajiandae kushtakiwa kwa uhujumu uchumi.
Shule ya Sekondari ilikuwa na uwezo wa kuchukua wanafunzi 500 kutokana na uchakavu wa mabweni ambapo sasa imekarabatiwa hivyo itaweza kuchukua wanafunzi 700.