Bana likasi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2020
- 6,926
- 6,422
Ulivyoandika nikajua huyu anatokea kikimanjaro kumbe kweli Ni Mushi kada wa chadema anayejifanya CCM
Majina yake ayatakayo ndio mtalazimishwa kuyachagua.Kama sio muimba kwaya sahau kuhusu kupita,Mlizoea kuwaona wajumbe wa mashina kuwa hawana maana wakati ndio wenye wapiga kura safari hii mjiandae .Raisi Magufuli karudisha heshima ya chama kuanzia chini
Sasa nikupe story ndugu yangu,Kuna my blood friend Katia nia kugombea udiwani huko kwao,kafika kwa katibu wa chama kata as kiongozi lakini Kama mzee wake coz huwa anamsaidia mambo mengi,katibu alifurahishwa Sana na maamuzi ya kijana msomi kutaka kuacha ajira yake ili aitumokie jamii yake coz ile kata inasuasua mno,mzee akampa mchoro wa namna ya kuwin the Battle kuwa walau ajitahidi atafute hata kiasi kidogo kwa ajili ya kuwakamata japo hata wajumbe 30 wa mkutano mkuu na kamati nzima ya siasa.Kamati ziko nyingi na zote zipo kazini.. huwezi onga kamati zote na unaweza kuhonga ukaliwa fedha na ukawekewa comment mbovu kama kawaida😁
CCM ya Magufuli iko makini
Wewe na Ole Mushi nani anaijua vyema ccm?Ulivyoandika nikajua huyu anatokea kikimanjaro kumbe kweli Ni Mushi kada wa chadema anayejifanya CCM
Wazee kama huyo aliyeishia darasa la 4 wanakuaga mafundi'wachawi'kichizi mpk udiwani anaufanya kama ni wake vile,huyo msela wako awe makini/awe nae ni fundi kimtindo.Sasa nikupe story ndugu yangu,Kuna my blood friend Katia nia kugombea udiwani huko kwao,kafika kwa katibu wa chama kata as kiongozi lakini Kama mzee wake coz huwa anamsaidia mambo mengi,katibu alifurahishwa Sana na maamuzi ya kijana msomi kutaka kuacha ajira yake ili aitumokie jamii yake coz ile kata inasuasua mno,mzee akampa mchoro wa namna ya kuwin the Battle kuwa walau ajitahidi atafute hata kiasi kidogo kwa ajili ya kuwakamata japo hata wajumbe 30 wa mkutano mkuu na kamati nzima ya siasa.
Sasa ukweli uliopo ni kwamba diwani aliyemaliza muda wake amefeli pakubwa mno kuisogeza ile kata maana hata elimu yake aliishia la 4,ni mzee tu Sasa lakini bado anataka Tena,na Kila Kona kachokwa mpaka kiongozi wa chama,huyu jamaa yangu ndiye mwenye CV nzuri Sasa.
Nilichokigundua mpaka Sasa ni kwamba wananchi wengi bado wanna uduni wa ufahamu kuwa rushwa kwao ni sehemu muhimu ya uchaguzi hivyo nao walau wanataka chochote.
Katika situation Kama hii,Kuna usafi wowote katika michakato hiyo?
Hahahaaaaaaa! Unaharibu Hali ya hewa ingawa ndiyo ukweli wenyewe.Wazee kama huyo aliyeishia darasa la 4 wanakuaga mafundi'wachawi'kichizi mpk udiwani anaufanya kama ni wake vile,huyo msela wako awe makini/awe nae ni fundi kimtindo.
Kwani nimekwambia nagombea? tulia weweKwa hiyo mama yako,baba yako,kaka zako na dada zako wakikuchangia uchukue fomu ni rushwa? wewe huna ushirikiano hata na ndugu zako mwenyewe .Wangekuchangia kama ndugu usingekuja kupiga miyowe humu
Magufuli kafanya vizuri sana kuondoa aina ya uongozi kama wa kisultan, yani kwa ccm ya sasa utapewa nafasi kutokana na how potential you are, na sio wewe ni mhomba au ni mtoto wa nani? Safi sana Magufuli kaza spana zaidi, tuondolee nchi ambayo ilikua kama ya familia flan flaniKamati ziko nyingi na zote zipo kazini.. huwezi onga kamati zote na unaweza kuhonga ukaliwa fedha na ukawekewa comment mbovu kama kawaida😁
CCM ya Magufuli iko makini