Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na huku kwetu tujiandae, ili kumfurahisha bwana wao napo watakuja na upuuzi wa kuifungia pia.
Kwanza hata zetu zikiuzwa hakuna cha maana watakachoambulia zaidi ya udaku na ufuska tuSisi hatuna control na data ambazo zinakuwa collected na social media. Hakuna team inauojali hilo so hakuna litalotokea
Mtakata sana mauno tiktokNzuri sana Na zinakuja video viral kwa jinsi unavyozipendelea mfano kama unapenda complications za wanyama basi ukizitazama muda mrefu zinazidi kuna hizonza wanyama kama unapenda comedy zinakuja za comedy..nakushauri download tiktok ni nzuri sana wasanii underground hawawez tupia clip zao zote YouTube nyingi wanaupload tiktok..mfano msanii anaitwa txdulla,ndaro mjeshi,n.k wa Cheka tu wote video zao nyingi tiktok
Mimi pia nasikiaga tu Tiktok lakini sijawai hata kufikiria kuweka kwenye simu yanguNasema ukweli sijawahi hio app kuiweka kwny simu yangu, hata hio challenge sijui Ni Nini/inafanyikaje.
Only time najua ipo Ni pale ninapotumiwa clip za kutoka kwny huo mtandao kwny my WhatsApp.
Tafuatilia pia nione kuna nini huko Tiktok sijawai install hiyo applicationDuh shukrani wazee,nimejifunza kitu.Mostly Nilikua naonaga clip za huko mitandaoni kutoka tiktok ni za watu wanacheka cheka tu.Sikuwahi kujua Kuna serious contents pia.