Kwahiyo hata kama alikuwa anakamuliwa nivumilie tu?
he hata wewe kama si kuwa nchi zenye msimamo mkali...ungeshachakachua siku nyiingi...
mbona una wivu hivyo,si inaoshwa tu...afu inatumiwa tena,lol:embarrassed:
Hapa unasema ukweli nashukuru sana ila nitaangalia!
sawa at the end of the day watu watakupa tu mawazo lakini ni juu yako kuyachambua...
inaelekea unampenda sana bibie ndo maana unawivu naye
hiyo safi...
safi sanaNampenda kweli na nina Wivu kweli, haya ninayoyapata hapa nitachanganya na yangu pia!
Wewe nipe moyo tu ila nisipowaza wanachakachua sitakuwa nampenda!