Watakuwa hawajanichakachulia kweli mchumba wangu?

Watakuwa hawajanichakachulia kweli mchumba wangu?

Nimewaelewa wote Wana JF hapa nimejifunza mengi kwanza Uvumilivu,Kuwa na Imani na mwenzangu, kuchakachuliwa ni unkwepable, Sipaswi kusikiliza kila ushauri, Nikipata ushauri niamuwe mwenyewe, Niache kuwa na Wivu,niwe mtu wa kuamini hata kama hakuna watu wanachakachua.

Kupima Afya ndio ushauri ulioongoza hapa ikionesha jinsi tunavyojali kwani ugonjwa wa ukimwi ni hatari na unaua!

Nashukuru sana kwa michango yenu inazidi kunijenga!
 
Ila bado na shaka na hizi sikukuu ndio hata usingizi sipati
 
Wana JF ni muda wa zaidi ya mwaka mmoja sasa sijaonana na Mchumba wangu amabaye hata Engagement tulishafanya.Huku nilipo nipo kikazi na ninaamini kuwa nikirudi nitamkuta salama. Hata hivyo najiuliza kweli nitamkuta Salama au watu watakuwa wananichakachulia? Hofu ninayo sana kutokana na Maisha ya sasa je Nikirudi nifanyaje ili anagalau niweze kuwa na Imani nae?

Swali likurudie wewe pia...! Kwani kwa muda wote huo na wewe hujachakachua? Kama Umechakachua basi ujue na yeye kafanya hivyo hivyo...! Jifikirie kwanza wewe binafsi kabla hujamfikiria yeye.
 
njia hii ya kugundua kama anachakachuliwa ni ya kienyeji ila ni 100% perfect, chukua mkojo wake kijiko cha chakula kimoja kisha changanya na unga wa matama nusu ya kijiko cha chai kama ukiona matokeo ni uji wa rangi ya blue jua kuwa amechakachuliwa ndani ya mwezi mmoja kama ukiwa rangi ya njano ujue hajachakachuliwa endelea kula kavu kavu bila woga
 
Back
Top Bottom