Nimekuelewa ndg yangu kwa ushauri wako mzuri toka mwanzo!
suala bibi kuchakachuliwa lipo wazi 5 years ni nyingi sana hapo kati kati lazima atakua amepata ujauzito wa hapa na pale (Lazima atakua ametoa ofcoz kama anatarajia ujio wako or mayb mtoto yupo kwa bibi yake kule chijijini atakufahamisha baadae hilo suala baada ya kuwa mshafunga ndoa))mayb na magonjwa kadhaa kadhaa ya zinaa cha kufanya hapo ukirudi.Muende mkacheki kama mdudu hajavamia makazi yenu kwa sababu mimi na wasambaa wenzangu wote tunaamini kabisa ile "kitu" huwa haiozi wala haichachi...kama alivyosema mchangiaji mmoja baada ya kuoshwa urudia upya wake kama zamani.Ni hayo tu ndugu yangu uliye njia panda
Asante naona unanikaribisha chai!
Wana JF ni muda wa zaidi ya mwaka mmoja sasa sijaonana na Mchumba wangu amabaye hata Engagement tulishafanya.Huku nilipo nipo kikazi na ninaamini kuwa nikirudi nitamkuta salama. Hata hivyo najiuliza kweli nitamkuta Salama au watu watakuwa wananichakachulia? Hofu ninayo sana kutokana na Maisha ya sasa je Nikirudi nifanyaje ili anagalau niweze kuwa na Imani nae?
Kama ulichakachua huko ulikoenda ujue na wako amechakachuliwa.
Fanyeni vipimo vya STDs ila utafute namna nzuri ya kumwambia maana wanawake hatuchelewi kumind na kulalamika kuwa hamtuamini.
Basic instinct. Walioshibana kikweli huwa na mawasiliano remotely. Inawekana kabisa kuwa six sense ndio inakupa hayo mawazo na inawezekana kabisa kuwa ni kweli watu wanadjust. Nini cha kufanya? Be positive usitumie nguvu nyingi kufikiria negatives. Ukirudi mpime afya zenu na kusonga mbele. Kwa walioelimika kweli rule ni moja kwamba unarekebisha ulichonacho kwanza na sio kuanzisha mengine ambayo huyafahamu vizuri. Kwa hivyo either way say umegundua kuwa wadau wamechakachua au la tumia elimu dunia (ambayo napenda kuamini umekuwa ukiitumia kumlinda mwenzi wa kisaikologia ikiwa ni pamoja na kuchakachua mawazo ya hapa Jamvini nina imani utapata muafaka mzuri tu.
poa!