Watalamu wa afya nisaidieni mawazo!!

Watalamu wa afya nisaidieni mawazo!!

Kama una pesa ndefu inawezekana kama hauna kubali kuwapoteza uokoe uhai wako na bado hata ukigharamika wanaweza pia wakapoteza uhai ni gharama mno maana inabidi waishi hospital kwa miezi yote mpaka wawe vizuri kwenda home unalipia machine kila siku Aga Khan Hospital ipo Shem wangu miaka almost 10 na kitu alikuwa analipa almost million per day mimba ilikuwa na shida week 24 mpaka Dr wakamwambia mkeo aende nyumbani awe anakuja kushinda kunyonyesha aondoke gharama sana kulala mtoto alikaa week 24 mpaka 40 weeks ndo akatoka na nyumbani akaelekezwa namna ya kuishi nae kalikuwa kakubwa mpaka kuanza nursery masikini kakafariki kwa Malaria ila Baba yake aliyumba kiuchumi mpaka leo hayuko sawa kipesa na kiakili maana hajapata tena mtoto.

Ulaya wana vifaa watoto wana survive huduma nzuri.

Yaani clinic tu hutoa elimu dalili hatarishi unatoka damu ilitakiwa ukamuone Dr haraka sana nakutakia kila la kheir mtake msamaha Mwenyeezi Mungu muombe akufanyie wepesi.
Asante
 
Kama Damu Ni Nyingi sana au si Nyingi ila Inatka Frequently Hapo hakuna Chaguo Tena inahitahika C/Section ya Haraka (Emergency one) na Angalau Unit kadhaa za Damu..

Wahi Hospitali Na Watakuelekeza Cha kufanya Kuvuja Damu During Placenta Previa Sio Kitu cha kufumbia macho hata kidogo ulipaswa kuandika Ujumbe huu Ukiwa Hospitalised tayari..

Pole sana lakini Bleeding During any stage of Previa Haijalishi site yake, Its an Emergency case
Sawa asante ngoja nirudi hospital
 
Kamwone Dr kapona chanika kule shuka kituo ccm

Bingwa wa mambo hayo ,ila andaa mil 1.5 mfukoni na kama mimba ya hao bodaboda ndohivyo wahi muhimbili kama uko dar ,mbeya wahi meta au rufaa and nk
 
Back
Top Bottom