Watalii kutokuja tena Tanzania?

Watalii kutokuja tena Tanzania?

"Man reapeth What so ever he plantenth" sio jambo la busara kuwalaumu waarabu wala wazungu ni hawa "vipofu"wetu ndio wakubeba lawama
 
Ni kweli tunawavutia watalii wa kila namna ikiwa ni wazungu,wahindi,waarabu au weusi wenzetu. Tatizo ni hii staili ya kuwapa hao watalii wajenge makazi ya kudumu ktk mbuga zetu. Ubaya mwingine hao watalii wamemilikishwa mbuga kwa serikali yetu tukutu kuwaondoa wenyeji kijinai na kinyume cha haki za mnyama achilia mbali binadamu. Sasa hivi hapa tunategemea watalii watoke sehemu mbali*2 duniani kuja kumshaangaa mwarabu kwenye mbuga zetu??
 
Duh, Hizi picha inabidi tujiulize mara kumi kumi...Yaani hakuna mtu wetu kuangalia kinachofanyika...bastola ya nini ktk uwindaji jamani...something isn't right!
 
Hii hali ilivyo sasa mbugani waarabu kuweka makazi yao namna hii , Kweli Mmarekani ataweza kuja mbugani na hali ikiwa hivi jamani hii mbona kubwa kuliko ni kwanini tujipotezee mapesa ya wazungu wakati wazungu toka enzi na enzi ndio ambao wamekuwa wakitusaidia,
sisi hata kama hatwendi mbugani kuangalia maliasili zetu ni uwezo tu ila tunazipenda sana tena sana ningependa Mbuga ziheshimiwe waachwe wanyama pekeyao wasiletewe usumbufu.
Lakini kwanini nyinyi tu jamani mbona Kenya haya mambo hayapo? are we stupid? %%%%#####**** griiiiiiiiiiiiiii





i680_fazza3tanzanya16.jpeg


i683_fazza3tanzanya18.jpeg


i688_fazza3tanzanya36.jpeg


i695_fazza3tanzanya122.jpeg
ukiambiwa hawa ni AL SHABAAB utakataa??na ukiambiwa hiyo ni base yao na ghala lao la silaha je??viongozi wanalala tu na kuishia kubishana kwenye mamikutano yao ya CCM,hiyo nchi uozo mtupu hakyanani.kuingia kwenye terorist list ni lazima kwa mpango huu
 
Hii hali ilivyo sasa mbugani waarabu kuweka makazi yao namna hii , Kweli Mmarekani ataweza kuja mbugani na hali ikiwa hivi jamani hii mbona kubwa kuliko ni kwanini tujipotezee mapesa ya wazungu wakati wazungu toka enzi na enzi ndio ambao wamekuwa wakitusaidia,
sisi hata kama hatwendi mbugani kuangalia maliasili zetu ni uwezo tu ila tunazipenda sana tena sana ningependa Mbuga ziheshimiwe waachwe wanyama pekeyao wasiletewe usumbufu.
Lakini kwanini nyinyi tu jamani mbona Kenya haya mambo hayapo? are we stupid? %%%%#####**** griiiiiiiiiiiiiii




i680_fazza3tanzanya16.jpeg


i683_fazza3tanzanya18.jpeg


i688_fazza3tanzanya36.jpeg


i695_fazza3tanzanya122.jpeg

Wawindaji my foot!Hawa wawindaji gani hawa wamekaa militaristic hivyo?They really look like they're on the mission,kwenye training lazima kuwe na degree of serioussness ambayo iko demonstrated na hao watu,ama ni familia za hao matajiri wa mafuta na masultani waliouziwa hizo mbuga?

Hata hivyo given the history and background of Bin Laden bado inatisha maana na yeye alikuwa mtoto wa tycoon na kila alipokuwa akienda alipewa priorities kutokana na pesa lakini kumbe alikuwa na secret mission.Hawa either ni watoto wa masultani wamekuja kucheza na kufanya uharibifu kwenye shamba la bibi ama ni materrorist wanafanya training,ama both.

Na kama ni wawindaji wa kawaida tu,then jambo hili litupiwe macho maana picha hizi hazionyeshi hali ya kawaida ya wawindaji.
 
The issue hapa ni yale yale ya POLITICS OF HATE na NARROW MINDEDNESS ya baadhi ya wachangiaji humu

Je hizo picha zingekuwa za akina Prince William au royal family ya Britain isingekuwa tatizo lakini kosa la hawa jamaa ni asili yao sasa itatafutwa kila namna ya kuwafanya waonekane hawafai and so on

Nyie mshatangaza utaliii ili wageni waje wa kila namna na hawa wanaenda kuwinda hilo lishakuwa kosa?

Kama huko Loliondo hakuna huduma mnazotaka sasa hilo nalo kosa la Sheikh Mohammed?

acheni kuwa na mitazamo finyu...mnajua fika tatizo ni SERIKALI na si jukumu la hao waarabu kupeleka maji na huduma za afya huko hilo ni jukumu la serikali yenu na kama mnatafuta mchawi then huko ndiko kwenye mchawi wenu na si kuanza kutafuta uchawi kusipo

halafu so far sijaona hata tone moja la ushahidi kuwa yote ambayo yanasemwa kuhusu Loliondo ni kosa la waarabu au kwa sababu ni easy target?


If anything wabaya wenu ni hao mnaowatuma wanegotiate hiyo mikataba yenu na bila kusahau wanasheria wenu. Mimi at this moment nishaacha kulaumu external forces kwenye hii mikataba ambayo hamuishi kulalamikia


hebu mie niende nikasome episodes za Kafulila na Zitto.

Mbaya wetu hapa ni Ali Hassan Mwinyi. Ndiye aliyeamuru Mwarabu apewe
himaya ya Loliondo. Mwuza nchi ni mwananchi.
 
babukijana,
Mkuu haiwezekani hawa kuwa AL SHAABAB kutokana na mavazi yao.. Wewe huwezi kuona tofauti ila sisi tunaofahamu na itakuwa kazi nyingine kukufahamisha na nina hakika huwezi kuamini pia. Ila inanipa picha mbaya sana kuona hawa jamaa wakifanya uwindaji pasipo uangalizi wa vyombo vyetu.. Waswahili wanasema trust no one!
 
babukijana,
Mkuu haiwezekani hawa kuwa AL SHAABAB kutokana na mavazi yao.. Wewe huwezi kuona tofauti ila sisi tunaofahamu na itakuwa kazi nyingine kukufahamisha na nina hakika huwezi kuamini pia. Ila inanipa picha mbaya sana kuona hawa jamaa wakifanya uwindaji pasipo uangalizi wa vyombo vyetu.. Waswahili wanasema trust no one!
mkuu kuna vitu vingi vinafanya nihisi hivyo si mavazi,nahasa hilo swala la uangalizi ni muhimu sana hapo mkuu,hasa hawa waarabu ndo kabisaa hawaaminiki na wala hata respect na sheria za nchi nyingine hawana,kitendo cha mpaka kujenga uwanja wa ndege hapo mbugani lazima kuna ishu tena kubwa ipo nyuma ya ukuta,subiri yatalipuka tu sikumoja,na kina membe km kawaida yao watasema mtutake radhi.
 
Duh, Hizi picha inabidi tujiulize mara kumi kumi...Yaani hakuna mtu wetu kuangalia kinachofanyika...bastola ya nini ktk uwindaji jamani...something isn't right!

saa zingine huwa siamini kama ni wewe unayeongea maneno kama hayo...sasa whats the difference kati yako wewe na wengine wenye upeo mfupi wa kuangalia mambo kwa mapana na marefu au basi tuu ndio katika mambo ya band wagoning?


1) Kuna ubaya gani Sheikh Mohammed na contigency yake kwenda kuwinda Loliondo?

2) Huyo ni kiongozi wa nchi na anatembea na bodyguards wake ambao kisheria wanaruhusiwa kuwa na among other things ni hiyo bastola

3) Je angekuwa Obama ndiye aliyekwenda Loliondo kuwinda na walinzi wake ungequestion kwa nini mmoja kati ya watu wake ana bastola?

4) Je wangekuwa Prince Charles na timu yake ndio wameenda kuwinda kule ungelalamika?
 
Mbona mnazunguka mbuyu tu? semeni tatizo nini. wengine mnakereka na mavazi tu basi, wengine muonekano wao hao jamaa ni militaristic, wengine nchi imeuzwa.

Mnahangaika tu mnashindwa kusema ukweli wenu kuwa tatizo hao ni waislamu na waarabu hivyo hawatakiwi wanaotakiwa hapo ni wazungu tu kwa sababu hao ni wagalatia wenzenu.

Kama mpo objective mngetuletea na picha za wazungu wanaowinda huko, kwani wawindani ni waarabu tu? Na je kuwinda ni ujangiri? Kwani hawana vibali vya uwindaji hao? Na utakuta watia saini wa vibali ndio ninyi wagalatia.

Njoo na takwimu kuna makampuni mangapi ya uwindaji huko na wamiliki ni akina nani ndio mtaona mnavyoongozwa na chuki

Udini tu hamna lolote!

Of all people hata wewe Mkandara?

Haya tuwaone hao wenye haki ya uwindaji basi



Giraffe.jpg



http://i249.photobucket.com/albums/gg209/mbuyanzi
/Simba4.jpg


Lion.jpg



Hunting3.jpg



Cheetah.jpg





Wilderbeast.jpg




Gazelle.jpg




Hunting3.jpg
 
Mbaya wetu hapa ni Ali Hassan Mwinyi. Ndiye aliyeamuru Mwarabu apewe
himaya ya Loliondo. Mwuza nchi ni mwananchi.

kusema hivyo nako ni kuwa simplistic fafanua ni kwa decree ipi Mwinyo aliamuru Mwarabu apewe?


umesahau kuwa Jamii Forums ni home of the "GREAT THINKERS"?
 
saa zingine huwa siamini kama ni wewe unayeongea maneno kama hayo...sasa whats the difference kati yako wewe na wengine wenye upeo mfupi wa kuangalia mambo kwa mapana na marefu au basi tuu ndio katika mambo ya band wagoning?


1) Kuna ubaya gani Sheikh Mohammed na contigency yake kwenda kuwinda Loliondo?

2) Huyo ni kiongozi wa nchi na anatembea na bodyguards wake ambao kisheria wanaruhusiwa kuwa na among other things ni hiyo bastola

3) Je angekuwa Obama ndiye aliyekwenda Loliondo kuwinda na walinzi wake ungequestion kwa nini mmoja kati ya watu wake ana bastola?

4) Je wangekuwa Prince Charles na timu yake ndio wameenda kuwinda kule ungelalamika?


Aaah GT wewe acha tu Mkandara anaogopa ataambiwa mdini. Yaani niliposoma hiyo hoja ya bastora nimecheka sana!

Kweli JF ni home of Great Thinkers!
 
Back
Top Bottom