Tuzungumze mambo kisayansi - Mataifa mengi ambayo yanamwamini Mungu na sayansi wamepiga marufuku ndege zinazo toka Uingereza, Afrika Kusini,Amerika Kasikasini na Nigeria kutotua Nchini mwao - kwa kifupi hiyo inamaanisha raia kutoka Mataifa hayo yenye strain mpya ya virusi vya Corona hawaruhusiwi kuingia katika baadhi ya Mataifa ya Ulaya na kwingineko - sisi hapa tunapata kigugumizi gani kuzipiga marufuku - je,tunajuwa virusi hivi vipya vina ukali gani wa maambukizi na tumejipanga vipi kukabiliana na type mpya, je, ni kweli vinatokana na ku-mutate au wenye malengo yao ya kutaka Bara la Afrika wakazi wake wawe wanaokotwa barabarani wamekufa kama nzige ndio wanataka kutujia na plan "B" baada ya kulalamika kwamba mbona Eaafrika hawafi kwa wingi kama walivyo tegemea/tabiri - kumbuka wanao toa matamko hayo ya kishetani ni watu wenye utajiri mkubwa sana Duniani, wanatumia fedha zao ku-fund viwanda vikubwa Duniani vya kutengeneza madawa na chanjo vile vile wana influence kwenye taasisi ya UN yaani WHO, hawafichi dhamila zao za kupunguza population explosion kwenye third World specifically Africa na baadhi ya Mataifa ya Asia wanasema kuzaliana ovyo bila mpangilio kuyamaliza/deplete resource za matumizi ya binadamu Duniani - hivyo wanajiona wana wajibu mkubwa wa ku-regulate idadi ya watu Duniani - wako serious na malengo yao ya ki-masonic, wako radhi kufanya lolote hata kuonga baadhi ya watawala barani afrika ili chanjo zao zikubalike watimize malengo yao ya muda mrefu.