Jaji Mfawidhi
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 15,835
- 23,776
Baada ya Serikali kufungua anga kwa ndege za Kimataifa, na kwakuwa huko kwa mabeberu summer time ndiyo hii basi wataslii wameanza kumiminika, na Kufikia mkoani KILIMANJARO.
Hili ni pigo kubwa sana kwa serikali na imemchefua mkuu huku Kigwangala akipongeza bila kujua bosi wake amechukia ila hajasema.
Watalii hawa wangeshukia CHATO-BURIGI mkuu angefurahi sana na angeenda kuwapokea mwenyewe, angeweka ndio talk of the day!
Sasa Burigi imepewa kila kitu mpaka simba wale wenye afya nzuri, tembo na wanyama wa kila aina wamepelekwa huko, mbona watalii hawaendi?
Kwanini kila mtalii akija Tanzania anashukia Kilimanajro, Arusha ,Zanzibar then anarudi kwao?
Hili ni pigo kubwa sana kwa serikali na imemchefua mkuu huku Kigwangala akipongeza bila kujua bosi wake amechukia ila hajasema.
Watalii hawa wangeshukia CHATO-BURIGI mkuu angefurahi sana na angeenda kuwapokea mwenyewe, angeweka ndio talk of the day!
Sasa Burigi imepewa kila kitu mpaka simba wale wenye afya nzuri, tembo na wanyama wa kila aina wamepelekwa huko, mbona watalii hawaendi?
Kwanini kila mtalii akija Tanzania anashukia Kilimanajro, Arusha ,Zanzibar then anarudi kwao?